Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Libya kuwakabili wanamgambo,Tripol

Serikali ya Libya imesema imeamuru vikosi vyake kuingia mjini Tripoli kupambana na wanamgambo wenye silaha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo kuchukuliwa hatua Libya

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio linalotoa wito wa kusitisha mapigano nchini Libya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Libya:Bunge lashtumu wanamgambo

Bunge jipya la Libya limeshtumu muungano wa wanamgambo ambao unajaribu kuuteka uwanja wa ndege wa mji wa Tripoli.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo wa Libya wasafirisha mafuta

Wanamgambo wa Libya wasafirisha wenyewe mafuta ya nchi na wayapeleka Korea Kaskazini

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri atekwa nyara na wanamgambo Libya

Wanamgambo wamemteka nyara naibu waziri wa maswala ya kigeni katika serikali inayotambuliwa kimataifa nchini Libya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza ,Ufaransa kuwakabili wahamiaji

Kampuni wa usafiri inayofanya safari zake kati ya Ufaransa na Uingereza ya Eurotunnel imesema maelfu ya wahamiaji wanaovuka kwenda Uingereza.

 

10 years ago

Michuzi

Stars yajidhatiti kuwakabili Misri

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, leo kimeendelea na mazoezi asubuhi na jioni katika uwanja wa Benki ya Biashara ya Ethiopia kujiandaa na mchezo dhidi ya Misri.
Jana kikosi cha Stars kilifanya mazoezi majira ya saa 9 mchana katika uwanja wa Taifa wa Ethiopia (Addis Ababa) ambao pia unatumiwa na timu yao ya Taifa kwa mazoezi.
Taifa Stars ambayo imeweka kambi jijini Addis Ababa nchini Ethiopia inajiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga jipangeni kuwakabili Ahly

TIMU ya Yanga imefanikiwa kutinga raundi ya kwanza ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kuwang’oa wapinzani wao Komorozine ya Comoro kwa jumla ya mabao 12-2. Idadi hiyo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Wanamgambo wa IS

Ndege za Marekani zimeshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic state kaskazini mwa Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan:Wanamgambo kifungoni

Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani