Pakistan:Wanamgambo kifungoni
Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Lowassa, Sumaye ‘kifungoni’
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Fifa yawatia kifungoni nyota wanne
9 years ago
Habarileo18 Aug
Basata yaitoa kifungoni Miss Tanzania
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limelifungulia shindano la urembo la Miss Tanzania baada ya kuridhishwa na mabadiliko kutoka kwa mratibu wake Kampuni ya LINO International Agency Limited.
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Blatter, Platini kifungoni miaka nane
ZURICH, USWISI
RAIS wa Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA), Sepp Blatter na Rais wa Vyama vya Soka barani Ulaya (UEFA), Michel Platini, wamefungiwa kujishirikisha katika soka kwa miaka nane.
Maamuzi hayo yametokea baada ya uchunguzi uliofanyika na kugundulika kwamba viongozi hao walijihusisha na rushwa ya pauni milioni 1.35 Februari 2011.
Kamati ya maadili ya shirikisho hilo ikiwa chini ya Mwenyekiti wake, Hans Joachim Eckert, imethibitisha kwamba Blatter na Platini wamefungiwa kushiriki...
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Aliyefungwa pamoja na Mandela aeleza walivyoishi kifungoni
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Basata yalitoa kifungoni shindano la Miss Tanzania
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Membe apongeza Kamati Kuu CCM kwa kuwatia ‘kifungoni’
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
Abdulrahman Kinana: Wafuasi wa Chama cha CUF wako kifungoni
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wana CCM wa maskani ya Mnarani Wilaya ya Micheweni na kuzungumza na wanachama wa maskani hiyo, Awali wakisoma taarifa yao mbele ya Katibu Mkuu wa CCM wanamaskani hao. Wamesema walihama kutoka Chama cha CUF na kujiunga na CCM lakini toka wamehama kutoka chama hicho wamekuwa wakinyanyaswa sana na kuzuiwa kufanya kazi ya uvuvi ikiwa ni pamoja na kutishiwa maisha na kuitwa makafiri na wafuasi wa CUF jambo ambalo linawasikitisha...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/1020.jpg)
ABDULRAHMAN KINANA: WAFUASI WA CHAMA CHA CUF WAKO KIFUNGONI