Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pakistan:Wanamgambo kifungoni

Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lowassa, Sumaye ‘kifungoni’

 Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imetangaza uamuzi mzito dhidi ya wanachama wake sita ambao hivi karibuni waliitwa na Kamati Ndogo ya Maadili na kuwahoji kutokana na tuhuma za kuanza kabla ya wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa urais wa mwaka 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Fifa yawatia kifungoni nyota wanne

Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limetangaza kuwatia kifungoni nyota wanne ambao watazikosa mechi kadhaa za fainali za Kombe la Dunia mwaka huu.

 

9 years ago

Habarileo

Basata yaitoa kifungoni Miss Tanzania

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limelifungulia shindano la urembo la Miss Tanzania baada ya kuridhishwa na mabadiliko kutoka kwa mratibu wake Kampuni ya LINO International Agency Limited.

 

9 years ago

Mtanzania

Blatter, Platini kifungoni miaka nane

Sepp Blatter, left, and Michel Platini shortly after the former had been re-elected Fifa presidentZURICH, USWISI

RAIS wa Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA), Sepp Blatter na Rais wa Vyama vya Soka barani Ulaya (UEFA), Michel Platini, wamefungiwa kujishirikisha katika soka kwa miaka nane.

Maamuzi hayo yametokea baada ya uchunguzi uliofanyika na kugundulika kwamba viongozi hao walijihusisha na rushwa ya pauni milioni 1.35 Februari 2011.

Kamati ya maadili ya shirikisho hilo ikiwa chini ya Mwenyekiti wake, Hans Joachim Eckert, imethibitisha kwamba Blatter na Platini wamefungiwa kushiriki...

 

11 years ago

Mwananchi

Aliyefungwa pamoja na Mandela aeleza walivyoishi kifungoni

Shujaa wa kukabili siasa za ubaguzi wa rangi, Nelson Mandela amezikwa huku aliyekuwa rafiki yake, Ahmed Kathrada akisema wakati wakiwa kifungoni, yeye na wafungwa wengine walikuwa wanamheshima kwa kumuita “Kaka mkubwa.”

 

9 years ago

Mwananchi

Basata yalitoa kifungoni shindano la Miss Tanzania

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limemfungulia mwandaaji wa shindano la urembo la Miss Tanzania, Lino International Agency baada ya kuomba radhi na kufanyia kazi baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza na kutekeleza masharti aliyopewa.

 

11 years ago

Mwananchi

Membe apongeza Kamati Kuu CCM kwa kuwatia ‘kifungoni’

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amepongeza uamuzi wa Kamati Kuu ya CCM kwa kuwapa adhabu ya onyo kali wanachama wake sita akiwamo mwenyewe kwa kosa la kuanza kampeni za urais mwaka 2015 mapema kabla ya muda.

 

10 years ago

Dewji Blog

Abdulrahman Kinana: Wafuasi wa Chama cha CUF wako kifungoni

4

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wana CCM wa maskani ya Mnarani Wilaya ya Micheweni na kuzungumza na wanachama wa maskani hiyo, Awali wakisoma taarifa yao mbele ya Katibu Mkuu wa CCM wanamaskani hao. Wamesema walihama kutoka Chama cha CUF na kujiunga na CCM lakini toka wamehama kutoka chama hicho wamekuwa wakinyanyaswa sana na kuzuiwa kufanya kazi ya uvuvi ikiwa ni pamoja na kutishiwa maisha na kuitwa makafiri na wafuasi wa CUF jambo ambalo linawasikitisha...

 

10 years ago

GPL

ABDULRAHMAN KINANA: WAFUASI WA CHAMA CHA CUF WAKO KIFUNGONI‏

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na viongozi wengine wakishiriki ujenzi wa tuta la kuzuia maji chumvi katika bonde la Mpunga la Koowe Wingwi Micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba , kulia ni Vuai Ali Vuai Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Kaskazini Pemba Ndugu Omar Khamis Othman.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani