Abdulrahman Kinana: Wafuasi wa Chama cha CUF wako kifungoni
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wana CCM wa maskani ya Mnarani Wilaya ya Micheweni na kuzungumza na wanachama wa maskani hiyo, Awali wakisoma taarifa yao mbele ya Katibu Mkuu wa CCM wanamaskani hao. Wamesema walihama kutoka Chama cha CUF na kujiunga na CCM lakini toka wamehama kutoka chama hicho wamekuwa wakinyanyaswa sana na kuzuiwa kufanya kazi ya uvuvi ikiwa ni pamoja na kutishiwa maisha na kuitwa makafiri na wafuasi wa CUF jambo ambalo linawasikitisha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/1020.jpg)
ABDULRAHMAN KINANA: WAFUASI WA CHAMA CHA CUF WAKO KIFUNGONI
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akagua shughuli za kilimo cha mkono kijiji cha Kwemnyefu
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima na kupanda mahindi katika shamba kijijini Kwemnyefu Kata ya Mpapayu wilayani Mheza mkoani Tanga pamoja na wananchi wakati alipotembelea shamba hilo na kukagua shughuli za kilimo cha mkono, Katika shughuli hiyo katibu mkuu huyo ameshirikiana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi wakiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za...
10 years ago
Michuzi02 Oct
NDUGU ABDULRAHMAN KINANA SHAMBANI KIJIJI CHA KWEMNYEFU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima na kupanda mahindi katika shamba kijijini Kwemnyefu Kata ya Mpapayu wilayani Mheza mkoani Tanga pamoja na wananchi wakati alipotembelea shamba hilo na kukagua shughuli za kilimo cha mkono, Katika shughuli hiyo katibu mkuu huyo ameshirikiana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi wakiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za...
10 years ago
GPLKIMBUNGA CHA KINANA CHAWAZOA KATIBU WA CHADEMA NA WAFUASI WAKE 26 NYOLOLO, MUFINDI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uPS5KaNxdQQ/VPDT5iMjReI/AAAAAAAAXP4/TDNmIWiV0kQ/s72-c/A0.jpg)
KINANA AKUTANA NA KAMATI KUU YA CHAMA CHA SPLM CHA SUDANI YA KUSINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-uPS5KaNxdQQ/VPDT5iMjReI/AAAAAAAAXP4/TDNmIWiV0kQ/s1600/A0.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZKNUkcWLKCc/VPDL9bY6seI/AAAAAAAAXPY/cBlnjGBxS8c/s1600/A1.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Jan
Maandamano ya chama cha CUF yapigwa ‘stop’
CHAMA cha Wananchi -CUF kimeamua kuahirisha maandamano yake, yaliyopangwa kufanyika jana, ikiwa ni ishara ya kuadhimisha miaka 14 ya vifo vya wafuasi wake waliopoteza maisha Januari 27, mwaka 2001.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1ldAlo9OzSGZ7mZTSZz*V-PGueCBIaGi0XB2RPUIwduJIezCBq7fJgLVcOKybl59g5ZcWs7Ni3QgO9F*Y4Xc6BfC/Lipumba.gif?width=650)
PROF. LIPUMBA AMECHOSHWA NA UKAWA AU CHAMA CHAKE CHA CUF?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7z7YKe3ksQk/XoLToF8db3I/AAAAAAALlo8/8t6WpQ48EZITk8LpB7vF5YjEGsZ1UQg2wCLcBGAsYHQ/s72-c/4ef51247-c9a0-4c61-b6fb-d08018fc7663.jpg)
NEWZ ALERT : KATIBU MKUU CHAMA CHA CUF AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7z7YKe3ksQk/XoLToF8db3I/AAAAAAALlo8/8t6WpQ48EZITk8LpB7vF5YjEGsZ1UQg2wCLcBGAsYHQ/s640/4ef51247-c9a0-4c61-b6fb-d08018fc7663.jpg)
Marehemu Khalifa amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Aga Khan alipokuwa akipatiwa matibabu kutokana na Matatizo ya ini.
Kwa hakika Chama kimepata pigo kubwa na kwa yakini marehemu ameacha pengo ambalo haliwezi kuzibika kirahisi.
CUF-Chama Cha Wananchi kinatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu na...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Sep
Abdulrahman Kinana
Na Abdulrahman Kinana “ Mwaka 2013 wanawake wawili wakiwa ni waalimu wa kujitolea, Katie Gee na Kirstie Trup, wakati huo wote wakiwa ni matineja- walifikwa na shambulio la kutisha wakiwa Zanzibar, ambayo ni sehemu ya Jamhuri […]
The post Abdulrahman Kinana appeared first on Mzalendo.net.