KIMBUNGA CHA KINANA CHAWAZOA KATIBU WA CHADEMA NA WAFUASI WAKE 26 NYOLOLO, MUFINDI
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akionesha kadi 27 za wananchama wa Chadema waliokihama chama hicho na kujiunga na CCM kaatika mkutano wa hadhara uliofanyika Mjini Nyololo, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2010. Kulia aliyevaa shati jeupe ni aliyekuwa Katibu wa Kata ya Igowole, Josephat Soda ambapo wengine ni miongoni mwa walio kuwa wafuasi wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/1020.jpg)
ABDULRAHMAN KINANA: WAFUASI WA CHAMA CHA CUF WAKO KIFUNGONI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-th75zUcuZGs/VDZwuH47vPI/AAAAAAAASJk/H5wNxShfMdE/s72-c/10.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA YAENDELEA WILAYANI MUFINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-th75zUcuZGs/VDZwuH47vPI/AAAAAAAASJk/H5wNxShfMdE/s1600/10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iaaSBfuK4C0/VDZwxRtK6QI/AAAAAAAASJ0/z7xrZuwNkbY/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aOD0BPT0ga0/VDZw1SAHBTI/AAAAAAAASJ8/GEViBOw99oY/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uqvmylc7muc/VDZxEie5HgI/AAAAAAAASKk/lA57ht-V6MU/s1600/17.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Apr
Katibu wa CHADEMA Jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje , Ahamia CCM
Hatua ya Ngwalanje kujitoa Chadema na kujiunga na CCM imeelezwa na baadhi ya wafuasi wa Chadema kuwa ni pigo kubwa kwa chama hicho.
Akizungumzia kujitoa kwa Ngwalanje, mwanachama wa Chadema Michael Ngimbusi alisema; “Ngwalanje alikuwa nguzo kuu ya Chadema wilayani Mufindi, aliogopwa...
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
Abdulrahman Kinana: Wafuasi wa Chama cha CUF wako kifungoni
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wana CCM wa maskani ya Mnarani Wilaya ya Micheweni na kuzungumza na wanachama wa maskani hiyo, Awali wakisoma taarifa yao mbele ya Katibu Mkuu wa CCM wanamaskani hao. Wamesema walihama kutoka Chama cha CUF na kujiunga na CCM lakini toka wamehama kutoka chama hicho wamekuwa wakinyanyaswa sana na kuzuiwa kufanya kazi ya uvuvi ikiwa ni pamoja na kutishiwa maisha na kuitwa makafiri na wafuasi wa CUF jambo ambalo linawasikitisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-opUFBNzZwcE/UmInc_Sz2XI/AAAAAAAAOww/YFUfMOT4nks/s72-c/zitto+kabwe.jpg)
Zitto aachia rasmi ubunge, Asema Chadema basi, wafuasi wake wamwaga chozi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-opUFBNzZwcE/UmInc_Sz2XI/AAAAAAAAOww/YFUfMOT4nks/s640/zitto+kabwe.jpg)
Zitto ambaye alivuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wiki iliyopita baada ya kushindwa kesi aliyoifungua Mahakama Kuu ya Tanzania, alitangaza uamuzi huo jana katika mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa soko la kijiji cha Mwandiga, mkoani Kigoma.
Zitto hakueleza ni sababu zipi zilizomlazimisha kujitoa Chadema zaidi ya kudai kuwa ni kutokana na migogoro ndani ya chama hicho.
“Ndugu zangu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuowwFNUB4tO7P-qzX23O72xgoEpUqXO4IvYfKqEbJU6SZmkuuwin9jKA3vQ169KwW3kEivEz2Q8Nml8-KH5sHMV/1.jpg)
ABDULRAHMAN KINANA KATIBU MKUU WA CCM AENDELEA NA ZIARA RUFIJI
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akagua shughuli za kilimo cha mkono kijiji cha Kwemnyefu
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima na kupanda mahindi katika shamba kijijini Kwemnyefu Kata ya Mpapayu wilayani Mheza mkoani Tanga pamoja na wananchi wakati alipotembelea shamba hilo na kukagua shughuli za kilimo cha mkono, Katika shughuli hiyo katibu mkuu huyo ameshirikiana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi wakiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za...
9 years ago
StarTV30 Sep
Kisa cha Zaidi ya watu 60 wanaodhaniwa wafuasi wa Chadema kutiwa mbaroni hiki hapa:
Polisi mkoani Iringa inawashikilia zaidi ya watu sitini wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kwa tuhuma za kuhatarisha amani kwenye barabara inayotoka katika uwanja wa michezo wa Samaro kwenda Kihesa.
Tukio hilo limetokea wakati Chama cha Mapinduzi CCM kupitia kwa mgombea wake wa Urais Dokta John Magufuli kufanya mkutano wa Kampeni za Urais kwenye uwanja wa michezo wa Samora Mjini Iringa.
Kadri siku zinavyojongea kufanyika kwa uchaguzi mkuu,hali ya kuanza...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UTxa6oNfQqE/VRXIkY9jf6I/AAAAAAAC2Zo/bJV0b_-xs7A/s72-c/4.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE JIMBO LA SAME MASHARIKI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UTxa6oNfQqE/VRXIkY9jf6I/AAAAAAAC2Zo/bJV0b_-xs7A/s1600/4.jpg)