Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto aachia rasmi ubunge, Asema Chadema basi, wafuasi wake wamwaga chozi.

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametangaza kijivua ubunge wa jimbo hilo.

Zitto ambaye alivuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wiki iliyopita baada ya kushindwa kesi aliyoifungua Mahakama Kuu ya Tanzania, alitangaza uamuzi huo jana katika mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa soko la kijiji cha Mwandiga, mkoani Kigoma.

Zitto hakueleza ni sababu zipi zilizomlazimisha kujitoa Chadema zaidi ya kudai kuwa ni kutokana na migogoro ndani ya chama hicho.

“Ndugu zangu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wafuasi wa Zitto, Chadema watwangana tena

Wafuasi wa Chadema wanaomuunga mkono aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe na wanaounga mkono uongozi wa juu, jana walitwangana tena muda mfupi baada ya kuondoka eneo la Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

MAKAHABA WA INDIA WAMWAGA CHOZI AIR PORT

Stori: Waandishi Wetu/Amani
MABINTI 22 wa Kihindi na Kinepal walioingizwa nchini kufanya biashara ya kuuza miili, wamenaswa wakimwaga machozi hadharani kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar wakisikitikia kuwakosa wateja wao Wabongo ambao inadaiwa walikuwa wakiwalipa vizuri. Makahaba hao wakijiandaa kwa ajili ya safari ya kurudi India. Mabinti hao waliingizwa nchini kati ya Mei na Desemba, mwaka jana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Msajili wa vyama aonya vurugu za wafuasi wa Chadema na Zitto

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujiepusha na vurugu na uvunjifu wa amani kinapotatua mgogoro wake na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wake, Zitto Kabwe.

 

10 years ago

Michuzi

Kuondoka kwa Maximo, wachezaji Yanga wamwaga chozi!

KOCHA wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo amewaaga rasmi leo asubuhi wachezaji wa timu hiyo kwenye mazoezi uwanja wa Sekondari ya Loyola huku akitarajia kuvuna zaidi ya Milioni 20 ndani ya klabu hiyo ikiwa ni mshahara wake wa dola 1200 na yupo kwenye harakati za kudai fidia ya kuvunjiwa mkataba na kuletwa mrithi wake kabla uongozi wa klabu hiyo haujamaliza nae.
Hata hivyo, tayari Maximo ameaga wachezaji wake kwenye mazoezi ya asubuhi leo ambapo mazoezi hayo yaligeuka shubiri baada ya Maximo...

 

10 years ago

Habarileo

Zitto kuutema rasmi ubunge

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe ZittoMBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto anatarajia kuaga wabunge wenzake na kubainisha mbele ya Bunge hilo, kuwa anaachia rasmi madaraka yake ya ubunge baada ya kuhitilafiana na Chama chake cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

 

9 years ago

Vijimambo

WATU 9 WAJERUHIWA KATIKA VURUGU KATI YA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA MBEYA MJINI NA WAFUASI WA CCM

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema Jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akiwa sambamba na dereva wake akibishana na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi baada ya kuvamia eneo lao la mkutano wa kampeni za Ubunge katika kata ya Ghana.Vijana wa boda boda wanaomuunga mkono Joseph Mbilinyi wakizuiliwa na Green Guard wa CCM. Baadhi ya viongozi wa CCM wakimsihi Joseph Mbilinyi kutoendelea na safari yake na badala yake ageuze lakini bado aliendelea na maamuzi yake.Wanachama wa CCM waliokuwa kwenye...

 

10 years ago

Africanjam.Com

ZITTO KABWE ACHUKUA RASMI FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE


Safari ya mbunge wa zamani wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chadema, Zitto Kabwe kurejea bungeni imeanza rasmi baada ya kiongozi huyo wa chama kipya cha ACT-Wazalendo kuchukua fomu za kuwania kuongoza jimbo la Kigoma Mjini.

Uamuzi huo wa kulitaka jimbo hilo unathibitisha kauli zake ambazo amekuwa akizitoa kwa muda mrefu kuwa hatarudi tena Kigoma Kaskazini kwa kuwa alishawatimizia kila kitu na haoni sababu za kuwawakilisha tena wananchi wa eneo hilo.

Kauli yake iliibua ubashiri kuwa Zitto...

 

10 years ago

GPL

ZITTO AWAJIBU CHADEMA, ASEMA WASHINDANE KWA HOJA

Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe samamba na timu yake wakiwasalimia wakazi wa Mwanza jana. Zitto Kabwe akiongea na wakazi wa Mwanza jana katika Uwanja wa Furahisha. Wananchi wakiwa katika mkutano huo wa ACT. Na Johnson James, Mwanza
KIONGOZI Mkuu wa chama kipya cha…

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema wamtimua rasmi Zitto

zitto kutimuliwaNa Waandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemvua rasmi uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.
Hatua hiyo ya Chadema imekuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupa kesi iliyofunguliwa na Zitto dhidi ya Bodi ya Udhamini ya chama hicho na Katibu wake, Dk. Willibrod Slaa.
Kesi hiyo ilitupwa jana na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za mapingamizi matano yaliyowasilishwa na mawakili wa Chadema.
Baada ya kutolewa kwa uamuzi huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani