Wafuasi wa Zitto, Chadema watwangana tena
Wafuasi wa Chadema wanaomuunga mkono aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe na wanaounga mkono uongozi wa juu, jana walitwangana tena muda mfupi baada ya kuondoka eneo la Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Chadema ngoma nzito,wafuasi watwangana makonde mahakamani
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Msajili wa vyama aonya vurugu za wafuasi wa Chadema na Zitto
10 years ago
VijimamboZitto aachia rasmi ubunge, Asema Chadema basi, wafuasi wake wamwaga chozi.
Zitto ambaye alivuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wiki iliyopita baada ya kushindwa kesi aliyoifungua Mahakama Kuu ya Tanzania, alitangaza uamuzi huo jana katika mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa soko la kijiji cha Mwandiga, mkoani Kigoma.
Zitto hakueleza ni sababu zipi zilizomlazimisha kujitoa Chadema zaidi ya kudai kuwa ni kutokana na migogoro ndani ya chama hicho.
“Ndugu zangu...
10 years ago
KwanzaJamii22 Sep
Wafuasi CCM, CUF watwangana Dar
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Wafuasi CCM,CUF watwangana Dar
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Zitto atosa wafuasi
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), aliyevuliwa nyadhifa zote za uongozi kwa madai ya usaliti, amekemea vurugu zinazofanywa na baadhi ya wanachama wanaopinga uamuzi wa chama. Zitto, amewataka wanachama...
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Zitto Kabwe aongoza kwa wafuasi wengi mtandaoni
11 years ago
GPL06 Jan
9 years ago
Habarileo18 Sep
Wafuasi wa Chadema mbaroni
WATU wawili wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Goodluck Hamandi (26), mkazi wa Mtoni na Fulgence Shayo (18) mkazi wa Mazimbu katika Manispaa ya Morogoro mkoani hapa, wamekamatwa na polisi wakituhumiwa kufanya fujo.