Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema ngoma nzito,wafuasi watwangana makonde mahakamani

>Vurugu za aina yake zimezuka katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, baada ya watu wanaodhaniwa kuwa wanachama wa Chadema  kumzomea aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho,  Zitto Kabwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wafuasi wa Zitto, Chadema watwangana tena

Wafuasi wa Chadema wanaomuunga mkono aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe na wanaounga mkono uongozi wa juu, jana walitwangana tena muda mfupi baada ya kuondoka eneo la Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Wafuasi Chadema, CCM wachapana makonde

Wafuasi wa Chadema na CCM wa Kata ya Kwenjugo wilayani hapa wamepigana ngumi hadi wengine kupata majeraha, baada ya kutokea malumbano yaliyotokana na kuingiliana kwa ratiba za mahali pa kufanyia mkutano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waumini watwangana makonde msikitini

WAUMINI wa Kiislamu wanaoswali katika Msikiti wa Mji wa  Zamani uliopo Mtaa wa Mji Mwema, wilayani Mpanda, wamepigana  makonde ndani ya msikiti  katika suala la kuamua nani  awe imamu wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA ngoma nzito

MAKAO Makuu ya Jeshi la Polisi nchini jana yaligeuka uwanja wa mapambano kati ya askari na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), waliomfuata Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, aliyekwenda...

 

5 years ago

CCM Blog

WAFUASI WA CHADEMA MARUFUKU KUFIKA MAHAKAMANI


MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa amri kuwa  hakuna shabiki yetote atakayeruhusiwa kuingia mahakamani hapo kusikiliza rufaa iliyokatwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake saba kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho...

 

11 years ago

GPL

Simba, Mbeya City watwangana makonde

Na Richard Bukos, Mbeya
MABAUNSA wa Mbeya City na wa Simba, juzi Jumamosi walizichapa kavukavu kwenye mlango wa kubadilishia nguo wachezaji, baada ya Mbeya City kuwatuhumu Simba kufanya ushirikina kwa kumwaga dawa kwenye mlango wa kuingilia vyumbani. Katika sakata hilo lililotokea kwenye Uwanja wa Sokoine jijini hapa katika mtanange wa Ligi Kuu Bara ulioisha kwa sare ya 1-1, mama mmoja mtu mzima… ...

 

10 years ago

Michuzi

WAPIGA PICHA ZA PASSPORT MJINI MOSHI WATWANGANA MAKONDE

Wapiga picha katika eneo la Kilima cha Mawenzi wakioneshana uwezo wa kupigana masumbwi hata hivyo chanzo cha ugomvi huo hakikuweza kufahamika mara moja.
Video na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto, CHADEMA ngoma nzito Mahakama Kuu

WAKILI wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, Albert Msando na Tundu Lissu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jana walichuana vikali katika kesi namba 1/2014 iliyofunguliwa na Zito...

 

10 years ago

Michuzi

KESI WAFUASI WA CHADEMA KUVAMIA POLISI YASOMWA LEO MAHAKAMANI

UPANDE wa Jamhuri katika kesi inayowakabili wafuasi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umedai mahakamani kwamba washtakiwa hao walikiuka amri halali ya Jeshi la Polisi baada ya kuvuka kizuizi kilichowekwa eneo la Makao Makuu ya  jeshi hilo.
Kadhalika, washtakiwa hao Ngaiza Kamugisha (28)  dereva, mkazi wa Vingunguti, Benito Mwapinga (30) Fundi nguo mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally na Eliasante Bugeji (51) Mhasibu wa CCBRT mkazi wa Komakoma Kinondoni, Dar es Salaam, wanadaiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani