Wafuasi Chadema, CCM wachapana makonde
Wafuasi wa Chadema na CCM wa Kata ya Kwenjugo wilayani hapa wamepigana ngumi hadi wengine kupata majeraha, baada ya kutokea malumbano yaliyotokana na kuingiliana kwa ratiba za mahali pa kufanyia mkutano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 Oct
Chadema wachapana makonde Kahama
UCHAGUZI wa ndani wa Chama cha Chadema wilayani Kahama mkoani Shinyanga umeingia dosari baada ya baadhi ya wagombea na wanachama kuchapana makonde kupinga kuenguliwa kwa baadhi ya majina ya wagombea katika uchaguzi wa Baraza la Vijana wa chama hicho (BAVICHA).
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Chadema ngoma nzito,wafuasi watwangana makonde mahakamani
11 years ago
Habarileo08 Jan
Watuhumiwa, askari wachapana makonde
WATUHUMIWA juzi walizua kizaa zaa katika Mahakama ya Mwanzo mjini Sumbawanga mkoani Rukwa baada ya kupigana na askari Polisi, wakigoma kukamatwa tena baada ya kuachiliwa huru na Mahakama.
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Wachapana makonde kisa Gazeti la Championi
Wafanyakazi wa Global Publishers wakati wa uzinduzi wa Shinda Nyumba katika ofisi za Global Bamaga , Mwenge.
Aplina Philipo, Mbeya
SHINDANO la bahati nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers, juzi lilisababisha ‘majibaba’ wawili kurushiana makonde kisa kikiwa ni kugombea Gazeti la Championi ambalo lina kuponi maalum ya bahati nasibu hiyo.
Tukio hilo la aina yake lilitokea maeneo ya Kituo cha Daladala cha Kabwe jijini hapa, ambapo wanaume hao ambao majina yao...
10 years ago
Vijimambo13 Feb
AFRIKA KUSINI WACHAPANA MAKONDE NDANI YA KIKAO CHA BUNGE

Bunge la Afrika kusini liligeuka kuwa uwanja wa vita ambapo wabunge wa upinzani ilifikia hatua ya kuvutana mashati na maafisa wa usalama na kufanya wabunge wa upinzani wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) wakiongozwa na Julias Malema kutolewa nje ya ukumbi wa bunge kwa nguvu na baadae wabunge wengine wa upanzani nao wakatoka nje ya ukumbi.Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob Zuma alipokuwa akilihutubia...
11 years ago
MichuziWAFUASI WA CCM,CHADEMA NUSURA WAZITWANGE MKUTANO WA NAIBU WAZIRI WA MAJI
11 years ago
Dewji Blog16 Jul
Wafuasi wa CCM,CHADEMA nusura wazitwange mkutano wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan wa CCM (KULIA), akiamulia ugomvi wa Diwani wa Kimara, Pascal Manota wa Chadema (kushoto) na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge waliotaka kuzichapa ulipotokea mzozo katika mkutano wa hadhara wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla katika Uwanja wa Shule ya Mavurunza, Kata ya Salanga, Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam jana.
Na Mwandishi wetu
Jitihada za Mbunge wa Ubungo John Mnyika kuwazuia wananchi wasiendelee kumzomea Naibu waziri wa...
10 years ago
VijimamboWATU 9 WAJERUHIWA KATIKA VURUGU KATI YA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA MBEYA MJINI NA WAFUASI WA CCM
10 years ago
Michuzi
CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.

Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...