Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema wachapana makonde Kahama

UCHAGUZI wa ndani wa Chama cha Chadema wilayani Kahama mkoani Shinyanga umeingia dosari baada ya baadhi ya wagombea na wanachama kuchapana makonde kupinga kuenguliwa kwa baadhi ya majina ya wagombea katika uchaguzi wa Baraza la Vijana wa chama hicho (BAVICHA).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wafuasi Chadema, CCM wachapana makonde

Wafuasi wa Chadema na CCM wa Kata ya Kwenjugo wilayani hapa wamepigana ngumi hadi wengine kupata majeraha, baada ya kutokea malumbano yaliyotokana na kuingiliana kwa ratiba za mahali pa kufanyia mkutano.

 

11 years ago

Habarileo

Watuhumiwa, askari wachapana makonde

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob MwaruandaWATUHUMIWA juzi walizua kizaa zaa katika Mahakama ya Mwanzo mjini Sumbawanga mkoani Rukwa baada ya kupigana na askari Polisi, wakigoma kukamatwa tena baada ya kuachiliwa huru na Mahakama.

 

9 years ago

Global Publishers

Wachapana makonde kisa Gazeti la Championi

Shinda Nyumba na Global (14)Wafanyakazi wa Global Publishers wakati wa uzinduzi wa Shinda Nyumba katika ofisi za Global Bamaga , Mwenge.

Aplina Philipo, Mbeya
SHINDANO la bahati nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers, juzi lilisababisha ‘majibaba’ wawili kurushiana makonde kisa kikiwa ni kugombea Gazeti la Championi ambalo lina kuponi maalum ya bahati nasibu hiyo.
Tukio hilo la aina yake lilitokea maeneo ya Kituo cha Daladala cha Kabwe jijini hapa, ambapo wanaume hao ambao majina yao...

 

10 years ago

Vijimambo

AFRIKA KUSINI WACHAPANA MAKONDE NDANI YA KIKAO CHA BUNGE


Wabunge wa upinzani wakitolewa nje ya Bunge na vyombo vya usalama


Bunge la Afrika kusini liligeuka kuwa uwanja wa vita ambapo wabunge wa upinzani ilifikia hatua ya kuvutana mashati na maafisa wa usalama na kufanya wabunge wa upinzani wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) wakiongozwa na Julias Malema kutolewa nje ya ukumbi wa bunge kwa nguvu na baadae wabunge wengine wa upanzani nao wakatoka nje ya ukumbi.Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob Zuma alipokuwa akilihutubia...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema ngoma nzito,wafuasi watwangana makonde mahakamani

>Vurugu za aina yake zimezuka katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, baada ya watu wanaodhaniwa kuwa wanachama wa Chadema  kumzomea aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho,  Zitto Kabwe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yawatega viongozi wake Kahama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Kahama, kimewapa wiki mbili za kujieleza viongozi wake ni kwa nini wasifukuzwe uanachama kutokana na utovu wa nidhamu. Miongoni mwa viongozi hao watatu...

 

10 years ago

Habarileo

Chadema Kahama wapigwa mabomu ya machozi

POLISI wilayani Kahama wametumia mabomu ya machozi kutawanya maandamano ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupinga kuendelea kwa Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema yatoa mabati 850 kwa waathirika mafuriko Kahama

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa msaada wa mabati 850 ikiwa ni ahadi iliyotolewa na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, kusaidia waathirika wa mafuriko katika kijiji cha Mwakata wilayani Kahama.

Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa (pichani), alisema msaada huo una thamani ya Sh. milioni 12.

Dk. Slaa alifafanua kuwa kati ya kiasi hicho cha fedha zilizonunua mabati, Sh. milioni 10 ni sehemu ya ruzuku inayotolewa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Kahama, James David Lembeli aondoka CCM na kujiunga rasmi na CHADEMA

Aliyekuwa Mbunge wa Kahama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), James David Lembeli (kushoto) akiingia ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi akiwa ameongozana na mtoto wake, Wizilya Lembeli wakati akienda kutangaza kuondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani