Watuhumiwa, askari wachapana makonde
WATUHUMIWA juzi walizua kizaa zaa katika Mahakama ya Mwanzo mjini Sumbawanga mkoani Rukwa baada ya kupigana na askari Polisi, wakigoma kukamatwa tena baada ya kuachiliwa huru na Mahakama.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Oct
Chadema wachapana makonde Kahama
UCHAGUZI wa ndani wa Chama cha Chadema wilayani Kahama mkoani Shinyanga umeingia dosari baada ya baadhi ya wagombea na wanachama kuchapana makonde kupinga kuenguliwa kwa baadhi ya majina ya wagombea katika uchaguzi wa Baraza la Vijana wa chama hicho (BAVICHA).
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Wachapana makonde kisa Gazeti la Championi
Wafanyakazi wa Global Publishers wakati wa uzinduzi wa Shinda Nyumba katika ofisi za Global Bamaga , Mwenge.
Aplina Philipo, Mbeya
SHINDANO la bahati nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers, juzi lilisababisha ‘majibaba’ wawili kurushiana makonde kisa kikiwa ni kugombea Gazeti la Championi ambalo lina kuponi maalum ya bahati nasibu hiyo.
Tukio hilo la aina yake lilitokea maeneo ya Kituo cha Daladala cha Kabwe jijini hapa, ambapo wanaume hao ambao majina yao...
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Wafuasi Chadema, CCM wachapana makonde
10 years ago
Vijimambo13 Feb
AFRIKA KUSINI WACHAPANA MAKONDE NDANI YA KIKAO CHA BUNGE
Wabunge wa upinzani wakitolewa nje ya Bunge na vyombo vya usalama
Bunge la Afrika kusini liligeuka kuwa uwanja wa vita ambapo wabunge wa upinzani ilifikia hatua ya kuvutana mashati na maafisa wa usalama na kufanya wabunge wa upinzani wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) wakiongozwa na Julias Malema kutolewa nje ya ukumbi wa bunge kwa nguvu na baadae wabunge wengine wa upanzani nao wakatoka nje ya ukumbi.Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob Zuma alipokuwa akilihutubia...
9 years ago
Michuzi27 Nov
KESI YA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA ASKARI WA KITUO CHA STAKISHARI YAAHIRISHWA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeairisha kesi inayowakabili watuhumiwa kumi (10)wa ujambazi wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari Polisi wa kituo Stakishari jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari wa Kituo cha Stakishari ni Omary makota(28),Rajab Ulatule(22),Ramadhani Ulatule(20),Fadhiri Lukwembe(23),Ally Salum(63).
Wengine ni Hamis Salum(51),Nassoro Abdalah(42)Seleman Salum(83),Said Mohamed(67) na Said Abdulah(45)....
11 years ago
Mtanzania02 Aug
Watuhumiwa ugaidi Arusha: Askari zaidi ya 100 wamwagwa mahakamani
Baadhi ya watuhumiwa wa kesi za kujishhughulisha na vitendo vya kigaidi wakishhushwa kwenye magari tayari kwa kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa hao 19 walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.
ELIYA MBONEA NA JANETH MUSHI, ARUSHA
ULINZI mkali jana uliimarishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati watuhumiwa wa vitendo vya ulipuaji mabomu jijini hapa walipofikishwa mahakamani.
Askari wasiopungua 100 wakiwamo wenye mbwa, askari wa usalama wa taifa, magereza,...
11 years ago
GPLWEMA, DIAMOND WACHAPANA
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Matajiri Ndanda wachapana