Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watuhumiwa, askari wachapana makonde

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob MwaruandaWATUHUMIWA juzi walizua kizaa zaa katika Mahakama ya Mwanzo mjini Sumbawanga mkoani Rukwa baada ya kupigana na askari Polisi, wakigoma kukamatwa tena baada ya kuachiliwa huru na Mahakama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chadema wachapana makonde Kahama

UCHAGUZI wa ndani wa Chama cha Chadema wilayani Kahama mkoani Shinyanga umeingia dosari baada ya baadhi ya wagombea na wanachama kuchapana makonde kupinga kuenguliwa kwa baadhi ya majina ya wagombea katika uchaguzi wa Baraza la Vijana wa chama hicho (BAVICHA).

 

9 years ago

Global Publishers

Wachapana makonde kisa Gazeti la Championi

Shinda Nyumba na Global (14)Wafanyakazi wa Global Publishers wakati wa uzinduzi wa Shinda Nyumba katika ofisi za Global Bamaga , Mwenge.

Aplina Philipo, Mbeya
SHINDANO la bahati nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers, juzi lilisababisha ‘majibaba’ wawili kurushiana makonde kisa kikiwa ni kugombea Gazeti la Championi ambalo lina kuponi maalum ya bahati nasibu hiyo.
Tukio hilo la aina yake lilitokea maeneo ya Kituo cha Daladala cha Kabwe jijini hapa, ambapo wanaume hao ambao majina yao...

 

9 years ago

Mwananchi

Wafuasi Chadema, CCM wachapana makonde

Wafuasi wa Chadema na CCM wa Kata ya Kwenjugo wilayani hapa wamepigana ngumi hadi wengine kupata majeraha, baada ya kutokea malumbano yaliyotokana na kuingiliana kwa ratiba za mahali pa kufanyia mkutano.

 

10 years ago

Vijimambo

AFRIKA KUSINI WACHAPANA MAKONDE NDANI YA KIKAO CHA BUNGE


Wabunge wa upinzani wakitolewa nje ya Bunge na vyombo vya usalama


Bunge la Afrika kusini liligeuka kuwa uwanja wa vita ambapo wabunge wa upinzani ilifikia hatua ya kuvutana mashati na maafisa wa usalama na kufanya wabunge wa upinzani wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) wakiongozwa na Julias Malema kutolewa nje ya ukumbi wa bunge kwa nguvu na baadae wabunge wengine wa upanzani nao wakatoka nje ya ukumbi.Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob Zuma alipokuwa akilihutubia...

 

9 years ago

Michuzi

KESI YA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA ASKARI WA KITUO CHA STAKISHARI YAAHIRISHWA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeairisha kesi inayowakabili watuhumiwa kumi (10)wa ujambazi wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari Polisi wa kituo Stakishari jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari wa Kituo cha Stakishari ni Omary makota(28),Rajab Ulatule(22),Ramadhani Ulatule(20),Fadhiri Lukwembe(23),Ally Salum(63).
Wengine ni Hamis Salum(51),Nassoro Abdalah(42)Seleman Salum(83),Said Mohamed(67) na Said Abdulah(45)....

 

11 years ago

Mtanzania

Watuhumiwa ugaidi Arusha: Askari zaidi ya 100 wamwagwa mahakamani

Baadhi ya watuhumiwa wa kesi za kujishhughulisha na vitendo vya kigaidi wakishhushwa kwenye magari tayari kwa kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa hao 19 walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

Baadhi ya watuhumiwa wa kesi za kujishhughulisha na vitendo vya kigaidi wakishhushwa kwenye magari tayari kwa kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa hao 19 walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

ELIYA MBONEA NA JANETH MUSHI, ARUSHA

ULINZI mkali jana uliimarishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati watuhumiwa wa vitendo vya ulipuaji mabomu jijini hapa walipofikishwa mahakamani.

Askari wasiopungua 100 wakiwamo wenye mbwa, askari wa usalama wa taifa, magereza,...

 

11 years ago

GPL

WEMA, DIAMOND WACHAPANA

Stori: WAANDISHI WETU
Tayari kimenuka! Habari ya mjini wikiendi iliyopita ni madai ya njiwa wapendanao Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuchapana makofi laivu, Ijumaa Wikienda lina kisa na mkasa. Diamond. TIMBWILI STUDIO
Kwa mujibu wa shuhuda wetu aliyekuwa eneo la tukio, timbwili hilo la haja lilijiri usiku mnene kwenye studio ya kurekodia nyimbo za...

 

10 years ago

Mwananchi

Matajiri Ndanda wachapana

Matajiri wa Ndanda FC wameshindwa kujizuia na kujikuta wakichapana makonde hadharani kwenye mechi ya timu yao dhidi ya JKT Ruvu iliyochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani