Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema Kahama wapigwa mabomu ya machozi

POLISI wilayani Kahama wametumia mabomu ya machozi kutawanya maandamano ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupinga kuendelea kwa Bunge la Katiba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mabomu ya machozi yarindima Mwanza

Polisi mkoani Mwanza wametumia mabomu ya machozi mapema leo kutawanya watu wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema  walioingia mitaani kushangilia wakiamini wagombea wao wanaongoza katika matokeo ya awali.

 

9 years ago

Mwananchi

Msafara wa Lowassa wapigwa mabomu

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana kwa mara ya kwanza alikumbana na joto la upinzani baada ya msafara wake kushambuliwa na mabomu ya polisi.

 

9 years ago

StarTV

Mabomu ya machozi yatawala dimba la Mkwakwani.

 

Hali ya taharuki imeibuka kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wakati wa mchezo kati ya Coastal Union ya jijini Tanga na Mbeya City.

Mashabiki wa Cost unioni walifikia uamuzi huo baada ya kudai kuwa mwamuzi ndiye aliyewasababishia penalt hiyo kwa sababu zake binafsi.

Taharuki ilianza baada ya mbea City kupata goli moja dakika ya tisini kupitia kwa mchezaji wake Raphael Alpha.

Baada yua matokeo hayo,washabiki cost union wakaanza kurusha mawe uwanjani huku wakitaka kuvunja milango ya kuingilia...

 

11 years ago

GPL

VURUGU MWEMBEYANGA, MABOMU YA MACHOZI YAPIGWA

VURUGU kubwa zimetokea katika Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar wakati wa tamasha la uzinduzi wa redio mpya ya EFM. Vurugu hizo zilizuka wakati burudani zikiendelea baada ya wananchi kuanza kurusha mawe na askari kuamua kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya. Kutokana na vurugu hizo, tamasha halikuweza kuendelea na inadaiwa baadhi ya watu wamejeruhiwa kwenye vurugu hizo. ...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi

Gari ya FFU Kaskazini Unguja imepinduka na kujeruhi askari 6 hali yao ni mbaya sana baada ya kupakia mabomu ya machozi na silaha ikipeleka kazini kwa mwendo kasi. Huko Kasikazini Unguja walikuwa wanawalipulia raia wasio na […]

The post Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

Kina Halima Mdee wapigwa mabomu

Mbunge wa Kawe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema (Bawacha),Halima Mdee.
Mkutano wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), uliopangwa kufanyika jana wilayani Kelwa mkoani Kagera, ulivurugika baada ya Jeshi la Polisi kupiga mabomu ya machozi kuuzuia.

Mwenyekiti wa Chadema, wa wilaya hiyo, Deus Lutakyamilwa, alisema Bawacha waliomba kibali cha kufanya mikutano katika wilaya hiyo Oktoba jana bila kujibiwa na polisi.

Alisema mabomu hayo...

 

9 years ago

Mwananchi

Mabomu ya machozi yarindima mkutano wa mgombea wa CCM

Vijana 50 wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa Chadema, wanadaiwa kufanya fujo kwenye mkutano wa hadhara wa mgombea wa ubunge wa CCM katika Jimbo la Moshi Mjini, Davis Mosha na kusababisha polisi wawatawanye kwa mabomu ya machozi.

 

10 years ago

Vijimambo

Wanafunzi UDSM wapigwa mabomu wakidai mikopo.

Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa HESLB, Cosmas Mwaisobwa.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM), wanaoishi katika hosteli za Mabibo ambao walikuwa wakiandamana kudai fedha zao za kujikimu.

Walichukua hatua hiyo kutokana na kucheleweshewa mikopo na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu (HELSB).
Tukio hilo lilitokea usiku walipoandamana kudai wawekewe fedha kwenye akaunti zao...

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI

Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa.Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.Mmoja wa polisi aliyejeruhiwa katika vurugu za leo.Wanafunzi na baadhi ya wanaharakati wakiwanyooshea fimbo wanausalama waliokuja kuzuia vurugu hizo.

JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyanganywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani