Mabomu ya machozi yatawala dimba la Mkwakwani.
Hali ya taharuki imeibuka kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wakati wa mchezo kati ya Coastal Union ya jijini Tanga na Mbeya City.
Mashabiki wa Cost unioni walifikia uamuzi huo baada ya kudai kuwa mwamuzi ndiye aliyewasababishia penalt hiyo kwa sababu zake binafsi.
Taharuki ilianza baada ya mbea City kupata goli moja dakika ya tisini kupitia kwa mchezaji wake Raphael Alpha.
Baada yua matokeo hayo,washabiki cost union wakaanza kurusha mawe uwanjani huku wakitaka kuvunja milango ya kuingilia...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Mabomu Arusha yatawala hotuba za Mei Mosi
SHEREHE za Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) mkoani Arusha zimetawaliwa na hotuba kuhusu milipuko ya mabomu iliyosababisha vifo vya watu na kuwaacha wengine na ulemavu wa kudumu. Hotuba hizo zilitolewa...
10 years ago
VijimamboMABOMU YATAWALA CHUO CHA KAMPALA BAADA YA KUTOKEA MGOMO
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Mabomu ya machozi yarindima Mwanza
10 years ago
Habarileo27 Sep
Chadema Kahama wapigwa mabomu ya machozi
POLISI wilayani Kahama wametumia mabomu ya machozi kutawanya maandamano ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupinga kuendelea kwa Bunge la Katiba.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi
Gari ya FFU Kaskazini Unguja imepinduka na kujeruhi askari 6 hali yao ni mbaya sana baada ya kupakia mabomu ya machozi na silaha ikipeleka kazini kwa mwendo kasi. Huko Kasikazini Unguja walikuwa wanawalipulia raia wasio na […]
The post Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
VURUGU MWEMBEYANGA, MABOMU YA MACHOZI YAPIGWA
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Mabomu ya machozi yarindima mkutano wa mgombea wa CCM
10 years ago
GPLMACHINGA DAR WASAMBARATISHWA KWA MABOMU YA MACHOZI KARUME
10 years ago
VijimamboPOLISI WAFYATUA MABOMU YA MACHOZI UBUNGO KUZUIA VURUGU.