Mabomu Arusha yatawala hotuba za Mei Mosi
SHEREHE za Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) mkoani Arusha zimetawaliwa na hotuba kuhusu milipuko ya mabomu iliyosababisha vifo vya watu na kuwaacha wengine na ulemavu wa kudumu. Hotuba hizo zilitolewa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/maxresdefault.jpg?width=650)
HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cd1rbfjLSp4/VUUAv9UQh7I/AAAAAAAA8J8/QHIc0TNm4B8/s72-c/s2.jpg)
HOTUBA YA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MH JAKAYA KIKWETE MEI MOSI 2015 - MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cd1rbfjLSp4/VUUAv9UQh7I/AAAAAAAA8J8/QHIc0TNm4B8/s1600/s2.jpg)
Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine wa serikali na TUCTA wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa kilele cha sherehe za MEI MOSI uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Ijumaa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-P-8JfzYkzRk/VUUA2N9EVtI/AAAAAAAA8KQ/d5m_coRM1vE/s1600/s5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bJYwH6p5cSA/VUUA5ydymuI/AAAAAAAA8Ko/_douW5GG6jo/s1600/s6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-63aOi8HMfu4/VUUA57g7-1I/AAAAAAAA8Kk/HiiV2ydgQDg/s1600/s7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nM0tz1AtLwc/VUUAvlZ2SXI/AAAAAAAA8J4/jVChLihmofA/s1600/s39.jpg)
Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi mfano wa hundi mfanyakazi bora wa TANESCO Bw. Clement Mwakalosi wakati wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bEAUH1cpgfs/U2Nf0FXjzNI/AAAAAAAFe3o/iokAKK-SuQw/s72-c/m11.jpg)
HOTUBA YA RAIS KIKWETE KWENYE KILELE CHA SIKUKUU YA WAFANYAKAZI DUNIANI, MEI MOSI 2014, DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-bEAUH1cpgfs/U2Nf0FXjzNI/AAAAAAAFe3o/iokAKK-SuQw/s1600/m11.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
9 years ago
StarTV02 Nov
Mabomu ya machozi yatawala dimba la Mkwakwani.
Hali ya taharuki imeibuka kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wakati wa mchezo kati ya Coastal Union ya jijini Tanga na Mbeya City.
Mashabiki wa Cost unioni walifikia uamuzi huo baada ya kudai kuwa mwamuzi ndiye aliyewasababishia penalt hiyo kwa sababu zake binafsi.
Taharuki ilianza baada ya mbea City kupata goli moja dakika ya tisini kupitia kwa mchezaji wake Raphael Alpha.
Baada yua matokeo hayo,washabiki cost union wakaanza kurusha mawe uwanjani huku wakitaka kuvunja milango ya kuingilia...
10 years ago
VijimamboMABOMU YATAWALA CHUO CHA KAMPALA BAADA YA KUTOKEA MGOMO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHtM0rqVxIXggAHu7CUo7zJtq2QTW7lMkwjbP5NwOXOscjMdFSPIwY1L*n0w8ZXxJwwrqO2S0IZb20-CQzLWXJq/RAISKIKWETE.jpg)
LEO MEI MOSI JK KUHUTUBIA
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Kalama ajipanga Mei Mosi
10 years ago
Habarileo03 May
Bomu lajeruhi 5 mei mosi
WATU watano akiwemo dereva wa gari linalotumiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), wamejeruhiwa vibaya na shambulio la kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutupwa na mkono kutoka kwa watu wawili wasiofahamika walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani juzi.