Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bomu lajeruhi 5 mei mosi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo.WATU watano akiwemo dereva wa gari linalotumiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), wamejeruhiwa vibaya na shambulio la kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutupwa na mkono kutoka kwa watu wawili wasiofahamika walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani juzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bomu lajeruhi watano Mei Mosi

Mmoja wa majeruhi akiwa hospitalini kwa matibabu.(Na Mpigapicha Wetu)WATU watano akiwemo dereva wa gari linalotumiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), wamejeruhiwa vibaya na shambulio la kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutupwa na mkono kutoka kwa watu wawili wasiofahamika walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani juzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bomu jingine lajeruhi 17 Arusha

MATUKIO ya milipuko ya mabomu yameendelea kulitikisa Jiji la Arusha baada ya watu 17 waliokuwa wakiangalia mpira kwenye baa ya Arusha Night Park, iliyopo maeneo ya Mianzini kujeruhiwa vibaya na...

 

11 years ago

Mwananchi

Bomu lalipuka, lajeruhi kanisani

Mtu mmoja amejeruhiwa baada ya kulipukiwa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Ziwa Victoria, Makongoro Misheni, Mwanza.

 

11 years ago

Mwananchi

Bomu latupwa baa Arusha, lajeruhi

Watu kadhaa wamejeruhiwa kutokana na mlipuko unaodhaniwa kuwa ni wa bomu katika baa maarufu ya Arusha Night Park katika eneo la Mianzini katika jiji la Arusha.

 

11 years ago

GPL

BOMU LALIPUKA BAR, LAJERUHI ZAIDI YA 10 ARUSHA

BOMU limelipuka katika baa ya Night Park iliyopo jijini Arusha na kujeruhi watu zaidi ya 10 waliokuwa eneo hilo. Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha amethibitisha kutokea kwa mlipuko huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kalama ajipanga Mei Mosi

Bondia Kalama Nyilawila amesaini mkataba kwa ajili ya kupanda ulingoni Mei Mosi kumkabili mshindi baina ya Thomas Mashali na Japhet Kaseba.

 

11 years ago

GPL

LEO MEI MOSI JK KUHUTUBIA

RAIS Jakaya Kikwete (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi na kuhutubia katika sherehe za wafanyakazi, Mei Mosi zitakazofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Hezron Kaaya mapema wiki hii aliwaambia wanahabari kuwa maadhimisho ya Sikukuu ya Mei Mosi mwaka huu yatafanyika kitaifa katika Uwanja wa Uhuru mkoani Dar es Salaam. “Katika kikao chetu na Rais Kikwete...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TUCTA yatishia kutoshiriki Mei Mosi

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi nchini (Tucta), limetishia kutoshiriki sherehe za Mei Mosi kwa mwaka huu kwa madai kuwa Rais Jakaya Kikwete ameshindwa kutekeleza madai ya wafanyakazi. Habari kutoka ndani...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya waalikwa maadhimisho ya Mei Mosi

Wafanyabiashara mkoani mkoani hapa wamealikwa kwenda wilayani Kyela kushiriki maonyesho ya Siku Kuu ya Wafanyakazi yatakayofanyika kwenye viwanja vya Mwakangale kuanzia Aprili 28 hadi Aprili 30.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani