TUCTA yatishia kutoshiriki Mei Mosi
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi nchini (Tucta), limetishia kutoshiriki sherehe za Mei Mosi kwa mwaka huu kwa madai kuwa Rais Jakaya Kikwete ameshindwa kutekeleza madai ya wafanyakazi. Habari kutoka ndani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHtM0rqVxIXggAHu7CUo7zJtq2QTW7lMkwjbP5NwOXOscjMdFSPIwY1L*n0w8ZXxJwwrqO2S0IZb20-CQzLWXJq/RAISKIKWETE.jpg)
LEO MEI MOSI JK KUHUTUBIA
10 years ago
Habarileo03 May
Bomu lajeruhi 5 mei mosi
WATU watano akiwemo dereva wa gari linalotumiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), wamejeruhiwa vibaya na shambulio la kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutupwa na mkono kutoka kwa watu wawili wasiofahamika walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani juzi.
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Kalama ajipanga Mei Mosi
10 years ago
GPLTASWIRA YA BONAZA LA MEI MOSI BAGAMOYO
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Mbeya waalikwa maadhimisho ya Mei Mosi
10 years ago
Michuzi10 Apr
11 years ago
Dewji Blog01 May
Sherehe za Mei Mosi Mwanza zafana
![](http://2.bp.blogspot.com/-JsrEeTfDbLU/U2IxC4BfoYI/AAAAAAAANag/PS3xkcMjofY/s1600/6.jpg)
Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo yalihitimishwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-i7_trS066Qg/U2IxFBOPR1I/AAAAAAAANao/9qv17vIqEYo/s1600/7.jpg)
Wafanyakazi wa Mkemia Mkuu wa Serikali wakiingia uwanjani CCM Kirumba Mwanza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza.
Wafanyakazi wa Idara ya Maliasili wakiingia uwanjani CCM Kirumba katika kuhitimisha siku ya wafanyakazi..
![](http://1.bp.blogspot.com/-1p8-b1YZ7Vs/U2IxHtcOgvI/AAAAAAAANaw/tDDF-BNWwkk/s1600/10.jpg)
10 years ago
Habarileo03 May
Bomu lajeruhi watano Mei Mosi
WATU watano akiwemo dereva wa gari linalotumiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), wamejeruhiwa vibaya na shambulio la kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutupwa na mkono kutoka kwa watu wawili wasiofahamika walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani juzi.
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Mabomu Arusha yatawala hotuba za Mei Mosi
SHEREHE za Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) mkoani Arusha zimetawaliwa na hotuba kuhusu milipuko ya mabomu iliyosababisha vifo vya watu na kuwaacha wengine na ulemavu wa kudumu. Hotuba hizo zilitolewa...