TASWIRA YA BONAZA LA MEI MOSI BAGAMOYO
Kikundi cha ngoma za asili, Magic Theatre cha Mbezi jijini Dar es Salaam, wakiserebuka katika Bonanza la Mei Mosi lililofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kiromo, Bagamoyo, Pwani. Kikosi cha timu ya Global FC katika picha ya pamoja kabla ya kuanza mchezo wao dhidi ya Nianjema FC, katika Bonanza la Mei Mosi kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kiromo, Bagamoyo. Kikundi cha Bagamoyo Jogging wakiwa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-CUyeiNdMjRo/U2K9LF6GScI/AAAAAAAFegQ/v35v4cVcz7E/s1600/0L7C0067.jpg)
TASWIRA ZA SHEREHE YA MEI MOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ev9d9hSEvSs/U2Jo7gQAtfI/AAAAAAAFebo/YZFYTW7bUGU/s72-c/m4.jpg)
TASWIRA ZA SHEREHE ZA MEI MOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ev9d9hSEvSs/U2Jo7gQAtfI/AAAAAAAFebo/YZFYTW7bUGU/s1600/m4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zcz8edeMi6o/U2Jo7cCGZTI/AAAAAAAFebk/WINlgn5rGgo/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
GPL11 years ago
Mwananchi23 Feb
Kalama ajipanga Mei Mosi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHtM0rqVxIXggAHu7CUo7zJtq2QTW7lMkwjbP5NwOXOscjMdFSPIwY1L*n0w8ZXxJwwrqO2S0IZb20-CQzLWXJq/RAISKIKWETE.jpg)
LEO MEI MOSI JK KUHUTUBIA
10 years ago
Habarileo03 May
Bomu lajeruhi 5 mei mosi
WATU watano akiwemo dereva wa gari linalotumiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), wamejeruhiwa vibaya na shambulio la kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutupwa na mkono kutoka kwa watu wawili wasiofahamika walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani juzi.
10 years ago
Habarileo03 May
Bomu lajeruhi watano Mei Mosi
WATU watano akiwemo dereva wa gari linalotumiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), wamejeruhiwa vibaya na shambulio la kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutupwa na mkono kutoka kwa watu wawili wasiofahamika walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani juzi.
11 years ago
Dewji Blog01 May
Sherehe za Mei Mosi Mwanza zafana
![](http://2.bp.blogspot.com/-JsrEeTfDbLU/U2IxC4BfoYI/AAAAAAAANag/PS3xkcMjofY/s1600/6.jpg)
Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo yalihitimishwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-i7_trS066Qg/U2IxFBOPR1I/AAAAAAAANao/9qv17vIqEYo/s1600/7.jpg)
Wafanyakazi wa Mkemia Mkuu wa Serikali wakiingia uwanjani CCM Kirumba Mwanza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza.
Wafanyakazi wa Idara ya Maliasili wakiingia uwanjani CCM Kirumba katika kuhitimisha siku ya wafanyakazi..
![](http://1.bp.blogspot.com/-1p8-b1YZ7Vs/U2IxHtcOgvI/AAAAAAAANaw/tDDF-BNWwkk/s1600/10.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Mbeya waalikwa maadhimisho ya Mei Mosi