Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakutana Zanzibar Januari 13, kwa kikao cha kawaida cha siku moja chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete. 
Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CCM yalaani vurugu kuapishwa kwa viongozi Serikali za mitaa

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimelaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya Mwanza, Dar es Salaam na Mbeya.

 

5 years ago

Michuzi

Wafuasi wa Chadema marufuku mahakamani wakati wa usikilizwaji wa Rufaa ya viongozi wao

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa amri kuwa  hakuna shabiki yetote atakayeruhusiwa kuingia mahakamani hapo kusikiliza rufaa iliyokatwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake saba kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho nchi...

 

9 years ago

Vijimambo

WATU 9 WAJERUHIWA KATIKA VURUGU KATI YA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA MBEYA MJINI NA WAFUASI WA CCM

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema Jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akiwa sambamba na dereva wake akibishana na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi baada ya kuvamia eneo lao la mkutano wa kampeni za Ubunge katika kata ya Ghana.Vijana wa boda boda wanaomuunga mkono Joseph Mbilinyi wakizuiliwa na Green Guard wa CCM. Baadhi ya viongozi wa CCM wakimsihi Joseph Mbilinyi kutoendelea na safari yake na badala yake ageuze lakini bado aliendelea na maamuzi yake.Wanachama wa CCM waliokuwa kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali ya China yalaani vikali tuhuma za kuhusishwa kwa Ndege ya Rais wake kubeba meno ya ndovu kutoka nchini

Serikali ya China imelaani vikali uzushi uliotolewa na vyombo vya magharibi kutuhumu ndege ya Rais huyo kutumika kubeba meno ya ndovu kutoka nchini.
Akizungumza leo mjini Arusha Balozi wa China Lu Youqing alisema kuwa huo ni uongo mkubwa ambao ulikuwa na nia ya kutia aibu taifa lake na Tanzania kwa ujumla.
Alisema kwamba Taifa lake hutoa adhabu kali kwa mtu anayefanya uovu kama ujangili, "Kama mwandishi angeweza kuthibitisha hao maafisa wangechukuliwa hatua kali, na hilo liko ndani ya uwezo...

 

10 years ago

StarTV

Vurugu kuapishwa Serikali za Mitaa, UKAWA na CCM zalaumiana.

Na Josephine Shem,

Dar Es Salaam.

 

Siku chache baada ya kuibuka kwa Vurugu kwenye sherehe za kuapishwa Viongozi waliochaguliwa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika mwaka jana Nchini kote, Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na Vyama vinavyounda Umoja wa Wananchi UKAWA vimetupiana lawama kuhusiana na Vurugu hizo.

 

Kwa upande wake CCM ilivilaumu vyama vya Upinzani kuwa ndiyo chanzo cha matatizo hayo kwa kuwa na mazoea ya kuanzisha Vurugu pindi wanaposhindwa katika chaguzi mbalimbali,...

 

10 years ago

GPL

DIWANI WA KATA YA VIJIBWENI (CCM), ATOA PIKIPIKI MBILI KWA AJILI YA KUSAIDIA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA

 Diwani wa Kata ya Vijibweni, Suleiman Mathew (wa tatu kushoto), akimkabidhi ufunguo wa moja kati ya pikipiki mbili, Katibu  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wa Kata hiyo, Salum Kabenza Dar es Salaam leo, alizozitoa kwa ajili ya kusaidia uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa katika kata hiyo ambao unatarajiwa kufanyika Disemba 14, 2014.
Wanachama wa CCM wa Kata ya Vijibweni wakiwa kwenye hafla hiyo ya makabidhiano...

 

10 years ago

GPL

BUNGE LAAHIRISHWA BAADA YA VURUGU KUHUSU POLISI KUWASHAMBULIA WAFUASI WA CUF

Mbunge wa NCCR–Mageuzi, James  Mbatia. Baada ya James Francis Mbatia kuleta hoja ya dharura juu nguvu iliyotumiwa na polisi dhidi ya maandamano ya CUF jana, ili ijadiliwe na wabunge kama hoja ya dharura, Spika Makinda aliamuru serikali ilete majibu kesho ndipo ijadiliwe.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, akiongozwa na mpambe kuingia kwenye ukumbi wa Bunge. Wabunge walisimama kushinikiza hoja ijadiliwe lakini...

 

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA YAGARAGAZWA NA CCM KESI ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Mahakama ya Wilaya ya Iringa imetoa hukumu ya kutengua matokeo ya mitaa 13 kutoka Manispaa ya Iringa ili kufanya uchaguzi wa marudio wa Serikali za Mitaa kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza katika uchaguzi uliofanyika Desemba 14 mwaka 2014.
Hukumu hiyo ilitolewa jana mbele ya mahakamu wakazi wanne ambao ni Andrew Scout, John Mpitanjia, E. Nassoro na Isaya, waliokuwa wanaendesha kesi hizo katika Mahakama ya Wazi ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Iringa.
Chama cha Mapindizi (CCM) kulifungua kesi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani