CCM YALAANI VURUGU WALIZOFANYIWA VIONGOZI WAKE WA SERIKALI ZA MITAA
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Jan
CCM yalaani vurugu kuapishwa kwa viongozi Serikali za mitaa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n8AlC8yli5s/VK-cHjr7FvI/AAAAAAAG8LY/c45OIeQp1rk/s72-c/MMGM4299.jpg)
CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-n8AlC8yli5s/VK-cHjr7FvI/AAAAAAAG8LY/c45OIeQp1rk/s1600/MMGM4299.jpg)
Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...
10 years ago
StarTV10 Jan
Vurugu kuapishwa Serikali za Mitaa, UKAWA na CCM zalaumiana.
Na Josephine Shem,
Dar Es Salaam.
Siku chache baada ya kuibuka kwa Vurugu kwenye sherehe za kuapishwa Viongozi waliochaguliwa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika mwaka jana Nchini kote, Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na Vyama vinavyounda Umoja wa Wananchi UKAWA vimetupiana lawama kuhusiana na Vurugu hizo.
Kwa upande wake CCM ilivilaumu vyama vya Upinzani kuwa ndiyo chanzo cha matatizo hayo kwa kuwa na mazoea ya kuanzisha Vurugu pindi wanaposhindwa katika chaguzi mbalimbali,...
10 years ago
Habarileo08 Dec
CCM yaagiza madiwani wake kujikita serikali za mitaa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka madiwani wake wote kushiriki kikamilifu katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa huku kikitishia kuwafukuza uanachama endapo watakiuka agizo hilo.
10 years ago
GPLDIWANI WA KATA YA VIJIBWENI (CCM), ATOA PIKIPIKI MBILI KWA AJILI YA KUSAIDIA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dk8v49DoyAY/VNDB0_-dBoI/AAAAAAAAMT8/yXDDlh7YWCc/s72-c/MWAKASAKA%2BPHOTO.png)
CCM TABORA YAWATUNUKU VYETI MAKADA WAKE WALIOKISAIDIA CHAMA HICHO KUPATA USHINDI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dk8v49DoyAY/VNDB0_-dBoI/AAAAAAAAMT8/yXDDlh7YWCc/s1600/MWAKASAKA%2BPHOTO.png)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
VijimamboJUMUIYA YA WAZAZI YA CCM KATA YA SINZA YAWASHUKURU WANACHAMA WAKE KWA KUKIPA USHINDI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akiwahutubia wanaccm wa Kata ya Sinza katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kufuatia kukipa ushindi chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdg1AmVPKK*nrEyTwX2tOgDKOgfGRB0yPA2CB50ZgVDYBPoRdBQoTQatd6Qp8oBqzSCTBqunyKHtNxn60iHZi1cV/globalwhatsap4.jpg)
VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA WAAPISHWA DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FyhFouKIvdM/VFz4CcUo_tI/AAAAAAAGwAE/_xLWEv6EYKU/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Serikali ya China yalaani vikali tuhuma za kuhusishwa kwa Ndege ya Rais wake kubeba meno ya ndovu kutoka nchini
Akizungumza leo mjini Arusha Balozi wa China Lu Youqing alisema kuwa huo ni uongo mkubwa ambao ulikuwa na nia ya kutia aibu taifa lake na Tanzania kwa ujumla.
Alisema kwamba Taifa lake hutoa adhabu kali kwa mtu anayefanya uovu kama ujangili, "Kama mwandishi angeweza kuthibitisha hao maafisa wangechukuliwa hatua kali, na hilo liko ndani ya uwezo...