Waumini watwangana makonde msikitini
WAUMINI wa Kiislamu wanaoswali katika Msikiti wa Mji wa Zamani uliopo Mtaa wa Mji Mwema, wilayani Mpanda, wamepigana makonde ndani ya msikiti katika suala la kuamua nani awe imamu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH2PsJqpXJ7ZNPX8OZS-nkSoNO1IPoQdKK7ae1V5TWdq1RQiyAhdXpipJFIiIamz6iymq5tF6thFWnQsy6W9Ghj7/SIMBA.gif?width=650)
Simba, Mbeya City watwangana makonde
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HrkcokWOrK8/default.jpg)
WAPIGA PICHA ZA PASSPORT MJINI MOSHI WATWANGANA MAKONDE
Video na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Chadema ngoma nzito,wafuasi watwangana makonde mahakamani
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Waumini wauawa msikitini Nigeria
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Exclusive: Wafanyabiashara ndogo ndogo Posta mpya watwangana makonde ‘live’
Baadhi ya wafanyabiashara hao wadogowadogo wakiwa katika ugomvi huo ambao ulidumu zaidi ya dakika 10, huku kila mmoja akimshambulia mwenzake kwa kile kilichosemekana kugombea eneo la kupanga bidhaa zao hizo. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Ilala-Dar es Salaam) Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu Machinga asubuhi ya leo wameweza kusimamisha baadhi ya shughuli eneo la kituo cha mabasi cha Posta mpya baada ya kutokea ugomvi baina ya wao kwa wao...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wanachama Simba watwangana
10 years ago
Habarileo03 Oct
Polisi, JWTZ watwangana
ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na askari Polisi wameshambuliana hadharani katika Stendi ya Mabasi mjini hapa na kusababisha uvunjivu wa amani na baadhi yao kujeruhiwa. Katika vurugu hizo za juzi saa 11 jioni zilizosababisha shughuli mbalimbali kusimama ikiwemo maduka kufungwa, askari kadhaa walijeruhiwa na kukimbizwa hospitalini.
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Wanajeshi, polisi watwangana risasi
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Wagombea ubunge watwangana ngumi
KAMPENI za wagombea ubunge 12 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaojinadi kwa wanachama kabla ya upigaji wa kura ya maoni katika Jimbo la Arusha Mjini, juzi ziliingia dosari baada ya wagombea wawili kutwangana makonde wakati wa kikao cha majumuisho.
Tukio hilo la kufedhehesha lilitokea ndani ya ofisi za CCM Wilaya ya Arusha saa 11:30 jioni wakati wagombea hao walipokaa na viongozi wa chama wilaya.
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho zilizolifikia Raia Tanzania na kuthibitishwa na...