Wanajeshi, polisi watwangana risasi
Watu 12 wamejeruhiwa wakati wa mashambulizi ya kurushiana risasi baina ya askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Kikosi 128 KJ cha Nyandoto na Polisi wa Kituo cha Stendi wilayani Tarime mkoani Mara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM03 Oct
WANAJESHI,POLISI WAPIGANA KWA RISASI
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na askari wa Jeshi la Polisi, wameshambuliana kwa silaha mbele ya raia na kusababisha baadhi ya maofisa waandamizi kujeruhiwa kwa risasi, baadhi yao vibaya.
Tukio hilo lilitokea juzi saa 11:00 jioni katika Kituo Kikuu cha Mabasi mjini Tarime.
Waliojeruhiwa katika tukio hilo ni askari JWTZ, Aloyce Filbert (24), aliyepigwa risasi mguuni na Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi wa Tarime/Rorya, SSP Salum, aliyejeruhiwa kichwani pamoja askari kadhaa.
...
10 years ago
Habarileo03 Oct
Polisi, JWTZ watwangana
ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na askari Polisi wameshambuliana hadharani katika Stendi ya Mabasi mjini hapa na kusababisha uvunjivu wa amani na baadhi yao kujeruhiwa. Katika vurugu hizo za juzi saa 11 jioni zilizosababisha shughuli mbalimbali kusimama ikiwemo maduka kufungwa, askari kadhaa walijeruhiwa na kukimbizwa hospitalini.
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Polisi, raia watwangana baada ya kufumaniana
WAKAZI wawili wilayani hapa, wamelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga baada ya kujeruhiwa katika mapigano kati yao na askari Polisi, baada ya kumshika ugoni mmoja wa...
10 years ago
CloudsFM31 Dec
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Polisi wafyatua risasi Keko
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Polisi: Hatukumpiga risasi Ponda
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Polisi wavamia Chama cha Wanajeshi Myanmar
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SCuf8P6Jn18/VkNQg_FdJOI/AAAAAAAIFVM/XR-XpERgjGg/s72-c/2.jpg)
JESHI LA POLISI LAKAMATA SILAHA 8 NA RISASI 62
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCuf8P6Jn18/VkNQg_FdJOI/AAAAAAAIFVM/XR-XpERgjGg/s400/2.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova amesema wahalifu walidhani kuwa Jeshi la Polisi limeweka nguvu katika uchaguzi mkuu na kusahau kufanya misako...
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Polisi ajiua kwa risasi kituoni