Polisi wavamia Chama cha Wanajeshi Myanmar
Polisi na wanajeshi wa Myanmar wamevamia makao makuu ya chama kinachoungwa mkono na jeshi cha Nay-Pyi-daw
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Wanajeshi na Polisi wavamia bunge la El Salvador kulishinikiza kupitisha muswada
Wanataka kuidhinishwa kwa mkopo wa mamilioni ya pesa ili kuwapatia vifaa vya kukabiliana na uhalifu.
11 years ago
Habarileo13 Jul
Wananchi wavamia kituo cha polisi
POLISI wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wamelazimika kutumia mabomu na risasi za moto ili kuwanusuru askari wawili wasiuawe baada ya kuzuka ugomvi kati ya askari polisi wa Kituo cha Lukumbule na wananchi wa vijiji vya Lukumbule na Mchesi.
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Polisi wavamia kituo cha kukusanya matokeo Ukawa
Polisi jijini hapa jana usiku walivamia kituo cha kukusanya matokeo ya nchi nzima cha Chadema kilichopo Kijitonyama na kuwakamata watu wote wanaokiendesha.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m-Eul0kNoxs/U5hJnSOifCI/AAAAAAAFpw8/eAlwlSBE5-c/s72-c/IMG-20140611-WA0002-1.jpg)
News Alert: Majambazi wavamia kituo cha Polisi Kimanzichana na kuua Askari
![](http://4.bp.blogspot.com/-m-Eul0kNoxs/U5hJnSOifCI/AAAAAAAFpw8/eAlwlSBE5-c/s1600/IMG-20140611-WA0002-1.jpg)
Cha kushangaza watu hao walimvamia askari mwenye silaha ambaye amefahamika kwa jina la JOSEPH NGONYANI na kuanza kumkatakata mapanga na hatimaye kupora silaha aina ya SMG ikiwa na risasi 30.
Ndipo...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Wananchi wavamia kituo cha polisi, wachoma moto magari manne, wafunga barabara kwa saa 5
>Polisi wa wa kituo cha Ilula kilicho Kilolo mkoani Iringa wanatuhumiwa kuua mtu mmoja, jambo lililoamsha vurugu kubwa zilizosababisha magari mawili kuchomwa moto.
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.
10 years ago
MichuziUJUMBE WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI WAKUTANA NA BAADHI YA WAJUMBE WA CHAMA CHA MAPINDUZI ZANZIBAR
9 years ago
Michuzi23 Oct
HATUTOKIBEBA WALA KUKIVUMILIA CHAMA CHOHCOTE CHA SIASA- POLISI
![Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/aPl2SfMT18NSrApzfK0Na-CBxBfoHrj10HxFg-jJ3sAgKM_3ogD5P4x_JHpe17rmrdfRL3tudWibYx2oYHVgt1jeJWaKNPOnrAIOadJZ44DtecjLsuEU0zLOfh5eM2KbwEzhEwk4-BE=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Charles-Mkumbo-620x309.png)
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limesema halipo tayari kukipendelea chama chochote kile cha siasa katika kipindi hiki cha uchaguzi utakaofanya Oktoba 25 mwaka huu.Kauli hiyo imetolewa jana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo, wakati akizungumza na wanahabari.
Mkumbo amesema kuwa katika kipindi hiki, jeshi halitakuwa tayari kukipendelea chama cha siasa kwani lipo kwa ajili ya kutenda haki na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania