Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi: Hatukumpiga risasi Ponda

Shahidi wa pili katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi, Morogoro kuwa, hawakuhusika kumpiga risasi mtuhumiwa huyo na kwamba alikamatwa katika Hospitali ya Muhimbili akitibiwa jeraha alilodai lilitokana na risasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanajeshi, polisi watwangana risasi

Watu 12 wamejeruhiwa wakati wa mashambulizi ya kurushiana risasi baina ya askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Kikosi 128 KJ cha Nyandoto na Polisi wa Kituo cha Stendi wilayani Tarime mkoani Mara.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wafyatua risasi Keko

 Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke lililazimika kupiga risasi za mpira hewani (Branco) ili kutawanya watu waliosadikiwa kuwa ni wezi waliokuwa wakijaribu kupora mali kwenye Kiwanda cha Kashaba (KCI) katika eneo la Keko baada ya kiwanda hicho kuwaka moto juzi usiku na kuteketeza sehemu kubwa ya mali zenye thamani ya zaidi ya Sh 200 milioni zilizokuwamo ndani.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi ajiua kwa risasi kituoni

>Polisi aliyefahamika kwa jina la Charles mwenye namba H 3416 wa Kituo cha Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, amejiua kwa kujipiga risasi akiwa ndani ya kituo.

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LAKAMATA SILAHA 8 NA RISASI 62

Na. Lilian Lundo - MaelezoJESHI la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam imefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 7 wakiwa na  silaha 8  na risasi 62 kwenye msako uliofanyika jijini  Dar es salaam katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Akiongea na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova amesema  wahalifu walidhani kuwa Jeshi la Polisi limeweka nguvu katika uchaguzi mkuu na kusahau kufanya misako...

 

10 years ago

CloudsFM

WANAJESHI,POLISI WAPIGANA KWA RISASI

Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na askari wa Jeshi la Polisi, wameshambuliana kwa silaha mbele ya raia na kusababisha baadhi ya maofisa waandamizi kujeruhiwa kwa risasi, baadhi yao vibaya.
Tukio hilo lilitokea juzi saa 11:00 jioni katika Kituo Kikuu cha Mabasi mjini Tarime.

Waliojeruhiwa katika tukio hilo ni askari JWTZ, Aloyce Filbert (24), aliyepigwa risasi mguuni na Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi wa Tarime/Rorya, SSP Salum, aliyejeruhiwa kichwani pamoja askari kadhaa.

...

 

9 years ago

GPL

UNDANI POLISI KUJIUA KWA RISASI

Na Francis Godwin, Iringa JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limeanza uchunguzi kujua chanzo cha askari wake wa upelelezi, Paschal Shila (pichani)kujiua kwa kujipiga risasi muda mfupi baada ya kudanganya kuna sehemu kulikuwa na uhalifu hivyo kukabidhiwa bunduki huku akiwa ametoka kugombana na mke wake. Askari huyo ambaye kabla ya kutoka katika ghala la silaha, alitoroka wenzake ambao walipaswa kwenda naye kwenye kazi siku hiyo na...

 

10 years ago

Vijimambo

Polisi ajiua kwa kujipiga risasi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Suzana Kaganda.
Askari wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, H 3416 PC Charles, amejiua kwa kujipiga risasi.

Baadhi ya wananchi wanaoishi jirani na kituo hicho cha polisi, Paulo Lazaro na Furahisha Felix, walisema tukio hilo lilitokea Aprili 4, mwaka huu, saa 1:00 usiku kituoni hapo.

“Suala hili limetushangaza, kwani sisi tulikuwa nyumbani. Ghafla tulisikia mlio wa bunduki katika kituo cha polisi. Tulipofika, tulimkuta askari huyo akiwa amekufa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi waua mwanamke kwa risasi

MWANAMKE mmoja Joyce Maragabu (65), amekufa baada ya kupigwa risasi kichwani na askari polisi waliokuwa kwenye jitihada ya kumkamata mtuhumiwa wa ujambazi, aliyekuwa mnadani Kijiji cha Iglansoni, Wilaya Ikungi mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani