Polisi wafyatua risasi Keko
 Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke lililazimika kupiga risasi za mpira hewani (Branco) ili kutawanya watu waliosadikiwa kuwa ni wezi waliokuwa wakijaribu kupora mali kwenye Kiwanda cha Kashaba (KCI) katika eneo la Keko baada ya kiwanda hicho kuwaka moto juzi usiku na kuteketeza sehemu kubwa ya mali zenye thamani ya zaidi ya Sh 200 milioni zilizokuwamo ndani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Wafyatua risasi na kuiba mkate
10 years ago
VijimamboPOLISI WAFYATUA MABOMU YA MACHOZI UBUNGO KUZUIA VURUGU.
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Polisi jamii Keko wahujumiana
POLISI Jamii wa Keko Toroli wamekilamikia kitendo cha askari wa kituo cha polisi Chang’ombe jijini Dar es Salaam kushindwa kufikisha watuhumiwa mahakamani. Hatua hiyo imetokana na polisi jamii hao, Mansul...
10 years ago
CloudsFM31 Dec
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Polisi: Hatukumpiga risasi Ponda
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Wanajeshi, polisi watwangana risasi
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RU-BxEuC-r7p*ZGFOG0kr9FHq2lRil08mIdsIfdHpduElPPGaix8ouXXRVQOmd-UiqwFmXJNUQjUTph4f76rpVnUEcp71XSL/Polisi.jpg?width=650)
UNDANI POLISI KUJIUA KWA RISASI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SCuf8P6Jn18/VkNQg_FdJOI/AAAAAAAIFVM/XR-XpERgjGg/s72-c/2.jpg)
JESHI LA POLISI LAKAMATA SILAHA 8 NA RISASI 62
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCuf8P6Jn18/VkNQg_FdJOI/AAAAAAAIFVM/XR-XpERgjGg/s400/2.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova amesema wahalifu walidhani kuwa Jeshi la Polisi limeweka nguvu katika uchaguzi mkuu na kusahau kufanya misako...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Polisi waua mwanamke kwa risasi
MWANAMKE mmoja Joyce Maragabu (65), amekufa baada ya kupigwa risasi kichwani na askari polisi waliokuwa kwenye jitihada ya kumkamata mtuhumiwa wa ujambazi, aliyekuwa mnadani Kijiji cha Iglansoni, Wilaya Ikungi mkoani...