Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi jamii Keko wahujumiana

POLISI Jamii wa Keko Toroli wamekilamikia kitendo cha askari wa kituo cha polisi Chang’ombe jijini Dar es Salaam kushindwa kufikisha watuhumiwa mahakamani. Hatua hiyo imetokana na polisi jamii hao, Mansul...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Polisi wafyatua risasi Keko

 Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke lililazimika kupiga risasi za mpira hewani (Branco) ili kutawanya watu waliosadikiwa kuwa ni wezi waliokuwa wakijaribu kupora mali kwenye Kiwanda cha Kashaba (KCI) katika eneo la Keko baada ya kiwanda hicho kuwaka moto juzi usiku na kuteketeza sehemu kubwa ya mali zenye thamani ya zaidi ya Sh 200 milioni zilizokuwamo ndani.

 

11 years ago

Michuzi

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda aendelea na kampeni yake ya kuhamasisha dhana ya polisi jamii

Na Fakih Mapondela wa Tabora Police Press Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda Alhamisi  tarehe 20/03/2014 alifanya ziara katika manispaa ya Tabora na kukutana na kikundi shirikishi (Sungusungu) na kukipatia mafunzo mbalimbali ya ulinzi shirikishi na ukamataji salama wa watuhumiwa pamoja na kukipa somo la dhana ya Polisi jamii. Kamanda Kaganda akiwa katikati ya Sungusungu kuonesha mbinu bora za ukamataji salama wa watuhumiwa Kamanda Kaganda akiwa katika harakati za kutoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yaimarisha dhana ya polisi jamii

KAMISHNA wa Polisi Jamii nchini (CP), Mussa Ali Mussa, amewataka maofisa wa Polisi na askari wote nchini, kuhakikisha wanafanya kazi katika misingi ya uwazi na usasa, hali itakayosaidia uenezi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Tutaendelea na polisi jamii’

JESHI la Polisi limesema litaendelea na mkakati wa kutumia Polisi Jamii kutokana na umuhimu wake wa kuzuia uhalifu. Akizungumza katika banda la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika...

 

10 years ago

Michuzi

POLISI JAMII AKIWAJIBIKA

Moja ya kitu ambacho Jeshi la Polisi nchini limecheza heko,ni kuanzisha kitengo cha Ulinzi shirikishi kwa kuwachukua vijana mbali mbali mitaani na kuwafunda vyema baadhi ya kazi za jeshi hilo vijana wa Polisi Jamii,hiki ni kitu kikubwa na safi sana kwa vijana hao kwa wingi wao,kwani wameweza kulipiga tafu Jeshi hilo,hasa katika kusaidia Askari wa Usalama Barabarani kuongoza magari ili kupunguza misongamano isiyokuwa na ulazima.pichani ni mmoja wa Polisi Jamii akiongoza magari barabarani.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi Jamii yasitishwa Kariakoo

>Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imesimamisha shughuli zinazofanywa na Polisi Jamii baada ya kubainika kuwapo kwa vitendo vya wizi katika maeneo ya Kariakoo.

 

10 years ago

Habarileo

Atoa somo kuhusu polisi jamii

KAMISHNA wa Polisi Jamii nchini, Mussa Alli Mussa, amewataka wadau wa ulinzi na usalama, maofisa wa polisi na askari kote nchini, kuhakikisha wanaielewa dhana ya polisi jamii kwa ufasaha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani