Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafyatua risasi na kuiba mkate

Watu watatu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameiba mkate wa Sh2,500 baada ya kufyatua risasi mbili hewani kwa bastola.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Polisi wafyatua risasi Keko

 Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke lililazimika kupiga risasi za mpira hewani (Branco) ili kutawanya watu waliosadikiwa kuwa ni wezi waliokuwa wakijaribu kupora mali kwenye Kiwanda cha Kashaba (KCI) katika eneo la Keko baada ya kiwanda hicho kuwaka moto juzi usiku na kuteketeza sehemu kubwa ya mali zenye thamani ya zaidi ya Sh 200 milioni zilizokuwamo ndani.

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI WAFYATUA MABOMU YA MACHOZI UBUNGO KUZUIA VURUGU.

Polisi Jijini Dar es Salaam wamelazimika kufyatua risasi hewani na kufyatua mabomu ya machozi kufuatia kuibuka kwa vurugu katika hoteli ya Land Mark ambapo shughuli ya uapishaji wa wenyeviti wa serikali Mitaazinafanyika. Vurugu hizo, zimeibuliwa na kambi ya upinzani ambayo imelalamikia kuwa Mwenyekiti mmoja wa Chama tawala CCM aliyeapishwa hakuwa ameshinda katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika mwaka jana.

 

9 years ago

Michuzi

TWIGA CEMENT YAWAPIGA MSASA WAFYATUA TOFALI JIJINI MWANZA

Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Cement ya Twiga Simon Delens,akizungumza na wafyatua matofali wa Mkoani Mwanza juzi,kwenye semina ya mafunzo ya kutengeneza matofali imara. Mhandisi kutoka Kampuni ya Cement ya Twiga Emmanuel Owoya, akitoa maelezo ya umuhimu wa kuvaa viatu vya usalama wakati wa kazi,kwenye mafunzo ya matengeneza matofali wa Mkoani Mwanza juzi.Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Cement ya Twiga Simon Delens,akimpongeza Nickson Cheka(kulia) baada ya kujibu vizuri maswali...

 

9 years ago

Habarileo

TBS kukagua viwanda vya mkate

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetangaza kuanza msako dhidi ya viwanda vya mikate ambavyo havipasishwa na shirika hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pasaka tusherehekee, tutafakari na kumegeana mkate

MASHITAKA yaliyomfikisha Yesu wa Nazareti Msalabani, yanachanganya. Kufuatana na masimulizi, inaonyesha hata na wale waliotekeleza mashitaka hayo walikuwa hawafahamu vizuri ni kwa nini mtu huyo, afikishwe mbele ya baraza na...

 

10 years ago

Mwananchi

Chidiebele: Muuaji wa Simba aliyeishi kwa mkate

“Maisha ni safari ndefu yenye milima na mabonde, lakini Mwenyezi Mungu akikufungulia njia unafika unakokwenda,” ndivyo anaanza kusimulia mshambuliaji wa Stand United, Abasirim Chidiebele raia wa Nigeria.

 

10 years ago

Habarileo

Wauza pande la ardhi kwa ‘silesi ya mkate’

VIONGOZI wa kijiji cha Meka wamebainika kuuza hekta 2,000 za ardhi kwa Tanga Forest kwa kupewa tangi la maji lenye ujazo wa lita 2,000.

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA AKIWA KATIKA KUSAKA MKATE WA KILA SIKU

Kutafuta liziki ni kwa kila mtu ila tofauti ni kwa namna gani jamaa kama alivyokutwa na kamera yetu leo katika eneo la Kinondoni B jijini dar es salaam.Mjasiliamali akimuuzia mteja wake mara baada ya kuegesha gari lake pembeni kama alivyonaswa na kamera yetu leo katika eneo la kariakoo jijini Dar es Salaam leo. (PICHA NA EMMENUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII)

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kufuta ada sekondari ni sawa na kuwapa keki wanaohitaji mkate

RAIS Jakaya Kikwete ametangaza kuwa Serikali inafikiria kufuta ada za shule za sekondari ngazi ya chini (O-level) na kuna baadhi ya watu wameshangilia sana. Sijui wanashangilia nini kwa sababu kilichotangazwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani