Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauza pande la ardhi kwa ‘silesi ya mkate’

VIONGOZI wa kijiji cha Meka wamebainika kuuza hekta 2,000 za ardhi kwa Tanga Forest kwa kupewa tangi la maji lenye ujazo wa lita 2,000.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Viongozi wauza ardhi wang’olewe-Lowassa

John Mhala, Monduli WANANCHI wa Jimbo la Monduli wilayani Monduli mkoani Arusha wametakiwa kuwang’oa madarakani viongozi wa vijiji wanaoshiriki kinyume na utaratibu kuuza ardhi bila ya kufuata utaratibu kwa kuendekeza zawadi ya bia na nyama choma.

 

11 years ago

Michuzi

CHEF ISSA ATOA SOMO LA KUBANIKA MKATE KWA KUTUMIA KUNI KWA VIJANA WA SCOUT UGHAIBUNI

Mkate uliotayari kwa kuliwa ooohhh asikwambie mtu saafi sana! Chef Issa anashukuru Allah kupata  bahati ya kualikwa na chama cha scout kwenda kuwafundisha vijana mbinu za mapishi wakiwa porini. Dah! waliipenda na kufagilia sana walitengeneza mkate wa kubanika kwa kutumia mti na moto wa kuni.Kundi la vijana wa scout na uongozi wao hapa ni baada ya kuwasha moto tukisubiri upungue na kuni zote zishike moto tuanze kubanika mkate.Chef Issa (kulia) akiwa na vijana wa scoutHuu ndio mkate wenyewe...

 

10 years ago

Mwananchi

Chidiebele: Muuaji wa Simba aliyeishi kwa mkate

“Maisha ni safari ndefu yenye milima na mabonde, lakini Mwenyezi Mungu akikufungulia njia unafika unakokwenda,” ndivyo anaanza kusimulia mshambuliaji wa Stand United, Abasirim Chidiebele raia wa Nigeria.

 

9 years ago

Mwananchi

Wafyatua risasi na kuiba mkate

Watu watatu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameiba mkate wa Sh2,500 baada ya kufyatua risasi mbili hewani kwa bastola.

 

10 years ago

GPL

CHAMPIONI YATOA ZAWADI TENA KWA WAUZA MAGAZETI

Muuzaji akikabidhiwa mwamvuli baada ya kupewa meza ya kuuzia magazeti eneo la Feri, Dar. Muuzaji huyo akisimika mwamvuli. Kulia ni Afisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda.…

 

11 years ago

GPL

CHAMPIONI YAENDELEA KUTOA ZAWADI KWA WAUZA MAGAZETI

Mmoja wa wauza magazeti akipokea zawadi ya mwavuli kutoka kwa Ofisa Usambazaji wa Global, Yohana Nkanda (katikati). Kushoto ni mfanyakazi wa Global, Jimmy Haroub . Mfanyakazi wa Global Publishers,…

 

9 years ago

Habarileo

TBS kukagua viwanda vya mkate

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetangaza kuanza msako dhidi ya viwanda vya mikate ambavyo havipasishwa na shirika hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pasaka tusherehekee, tutafakari na kumegeana mkate

MASHITAKA yaliyomfikisha Yesu wa Nazareti Msalabani, yanachanganya. Kufuatana na masimulizi, inaonyesha hata na wale waliotekeleza mashitaka hayo walikuwa hawafahamu vizuri ni kwa nini mtu huyo, afikishwe mbele ya baraza na...

 

11 years ago

GPL

GAZETI LA CHAMPIONI LAENDELEA KUGAWA FULANA KWA WAUZA MAGAZETI.

Muuzaji wa magazeti (kushoto) akiwa katika meza yake ya magazeti huku akiwa ametokelezea sambamba na mfanyakazi wa Global,  Jimmy Haroub (kulia). Muuzaji wa magazeti (kushoto) akionesha uso wa furaha baada ya kuvalishwa fulana ya Championi  na Jimmy Haroub.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani