Viongozi wauza ardhi wang’olewe-Lowassa
WANANCHI wa Jimbo la Monduli wilayani Monduli mkoani Arusha wametakiwa kuwang’oa madarakani viongozi wa vijiji wanaoshiriki kinyume na utaratibu kuuza ardhi bila ya kufuata utaratibu kwa kuendekeza zawadi ya bia na nyama choma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Mauaji ya Kiteto; Umbulla, Mbwilo wang’olewe
KUFUATIA mauaji ya watu takribani 30 kuuawa kinyama wilayani Kiteto, bila kuwepo uwajibikaji, ni wakati muafaka sasa Mkuu wa wilaya hiyo, Martha Umbulla na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Eraston...
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Kamati ya Bunge yataka watendaji Maliasili wang’olewe
10 years ago
Habarileo03 Oct
Wauza pande la ardhi kwa ‘silesi ya mkate’
VIONGOZI wa kijiji cha Meka wamebainika kuuza hekta 2,000 za ardhi kwa Tanga Forest kwa kupewa tangi la maji lenye ujazo wa lita 2,000.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QZAZq8w1bMg/VX8czMuiTBI/AAAAAAAAQ90/7e0_rVbgsYs/s72-c/E86A0340%2B%2528800x533%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI,ANGELA KAIRUKI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MKOA WA KILIMANJARO JUU YA TUHUMA MBALIMBALI ZA ARDHI ZILIZOIBULIWA BUNGENI HII KARIBUNI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-QZAZq8w1bMg/VX8czMuiTBI/AAAAAAAAQ90/7e0_rVbgsYs/s640/E86A0340%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rKtaqS6HgjI/VX8cyw8Xp3I/AAAAAAAAQ9w/lepr3NqYO8M/s640/E86A0344%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nEeU9Dpq7c0/VX8dFSWsesI/AAAAAAAAQ_s/1YnS_gxMlZA/s640/E86A0397%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zwDd4dLLkjU/VX-3ghWtusI/AAAAAAAA__s/1FaMGuIw-94/s72-c/B%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI,ANGELA KAIRUKI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MKOA WA KILIMANJARO JUU YA TUHUMA MBALIMBALI ZA ARDHI ZILIZOIBULIWA BUNGENI HIVI KARIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwDd4dLLkjU/VX-3ghWtusI/AAAAAAAA__s/1FaMGuIw-94/s640/B%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mBnHPlifuKQ/VX-3lBOHMkI/AAAAAAABAAk/9PkOTWyiRe8/s640/B%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pVIjpLHIp-s/VX-3lg82YEI/AAAAAAABAAg/GhVjrTaOn0A/s640/B%2B3.jpg)
10 years ago
Habarileo30 Aug
JK- Viongozi acheni udalali wa ardhi
RAIS Jakaya Kikwete amewaonya viongozi wa ngazi mbalimbali nchini, wakiwemo wa Halmashauri kuacha mara moja tabia ya kujigeuza kuwa madalali wa kuuza mapori ya ardhi, bali wazingatie suala la umuhimu wa kuweka akiba kwa ajili ya vizazi vijavyo.
11 years ago
Habarileo05 Feb
Viongozi wa dini watakiwa kuondoa migogoro ya ardhi
VIONGOZI wa dini wametakiwa kusaidiana na Serikali, kuondoa migogoro ya ardhi inayoendelea katika baadhi ya maeneo nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa Jukwaa la Ardhi Tanzania, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema makanisa na misikiti itumike vizuri kutatua matatizo ya migogoro ya ardhi.
10 years ago
Habarileo07 Oct
Lowassa aonya wanaouza ardhi kiholela
WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amesema kuwa tatizo la ardhi wilayani Monduli mkoani Arusha ni kubwa kuliko inavyofikiriwa na umasikini unapiga hodi kwa kasi kubwa katika wilaya hiyo, kutokana na uuzwaji holela wa ardhi kwa thamani ndogo.
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Lowassa akemea rushwa kwenye ardhi
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, (CCM), amekemea tabia ya baadhi ya viongozi wa serikali na mila wanaochukua rushwa na kuuza ardhi za wananchi wakiwemo wajane kinyume cha utaratibu. Aidha, ameitaka...