Lowassa akemea rushwa kwenye ardhi
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, (CCM), amekemea tabia ya baadhi ya viongozi wa serikali na mila wanaochukua rushwa na kuuza ardhi za wananchi wakiwemo wajane kinyume cha utaratibu. Aidha, ameitaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Dec
Mongela akemea rushwa hospitalini
MKUU wa Mkoa wa Kagera, John Mongela ameonya wataalamu wa idara ya afya hususani katika zahanati na vituo vya afya, wanaojihusisha na vitendo vya kuomba rushwa kwa wajawazito.
10 years ago
Mtanzania16 May
Sumaye akemea rushwa, ubinafsi
NA MWANDISHI WETU, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema lawama zinazotolewa na wananchi nchini zinatokana na kukithiri kwa rushwa, ufisadi, ubinafsi na uwepo wa biashara za dawa za kulevya hapa nchini.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, wakati wa maadhimisho ya siku ya kazi ya Chuo cha Ustawi wa Jamii (IST).
“Binadamu wenye uzalendo na maadili mema wanawajali wenzao na hawawezi kuangamiza maisha ya wengine, wakiwamo vijana kwa kufanya biashara ya dawa za kulevya...
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Muhongo akemea rushwa Tanesco
10 years ago
Habarileo06 Apr
Paroko wa RC akemea vitendo vya rushwa
PAROKO wa Kanisa Katoliki (RC) , Parokia ya Masasi jimbo la Tunduru-Masasi mkoani Mtwara, Dominick Mkapa amekemea vitendo vya rushwa vinavyofanywa na baadhi ya watu waliopewa mamlaka serikalini mazingira yanayochangia kuwepo kwa mikataba mingi isiyo na tija kwa taifa letu.
10 years ago
Habarileo27 Jun
Kinana akemea wapimaji viwanja wanaokula rushwa
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekemea watu wanaotumia upimaji na ugawaji viwanja kama fursa ya kutengeneza ulaji.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pSnHdW4-aWk/XkeMrJcXcxI/AAAAAAAAmso/4eE7cFXaosgxcktPfJuewmHn0JK-4kw2QCEwYBhgL/s72-c/thumbnail%2BMBUNGE%2B1.jpg)
MBUNGE WA USHETU AKEMEA VITENDO VYA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pSnHdW4-aWk/XkeMrJcXcxI/AAAAAAAAmso/4eE7cFXaosgxcktPfJuewmHn0JK-4kw2QCEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B1.jpg)
Mbunge wa jimbo la Ushetu, Mheshimiwa Elias Kwandikwa akizinduajengo la Chama cha Msingi cha Ushirika (Uyogo AMCOS) katika kataya Uyogo na kuahidi mifuko ya saruji 100 kwa ajili ya ujenzi wa jengohilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-IsGL1eVMGEw/XkeMrAJQusI/AAAAAAAAmss/5aMvIqtqUg87SbCHIO2Hf3PiGiDXpQ8aACEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xf0RSLQ-nV0/XkeMrEJHb4I/AAAAAAAAmss/qWkgER-2ofAXT5EAJmVhIRUOYZ9It_dkwCEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B3.jpg)
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Papa Francis akemea unyakuzi wa ardhi
10 years ago
Habarileo11 Mar
Sekta za ardhi, rushwa zaongezwa BRN
OFISI ya Rais Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB), inayosimamia Mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), imeongeza sekta za kipaumbele zinazoratibiwa na mfumo huo kutoka sita hadi kufikia 13 na safari hii sekta ya ardhi , kodi na mapambano ya rushwa zimeingizwa.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Rushwa, ukosefu wa maadili vinachangia migogoro ya ardhi