Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa akemea rushwa kwenye ardhi

MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, (CCM), amekemea tabia ya baadhi ya viongozi wa serikali na mila wanaochukua rushwa na kuuza ardhi za wananchi wakiwemo wajane kinyume cha utaratibu. Aidha, ameitaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mongela akemea rushwa hospitalini

MKUU wa Mkoa wa Kagera, John Mongela ameonya wataalamu wa idara ya afya hususani katika zahanati na vituo vya afya, wanaojihusisha na vitendo vya kuomba rushwa kwa wajawazito.

 

10 years ago

Mtanzania

Sumaye akemea rushwa, ubinafsi

sumayeNA MWANDISHI WETU, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema lawama zinazotolewa na wananchi nchini zinatokana na kukithiri kwa rushwa, ufisadi, ubinafsi na uwepo wa biashara za dawa za kulevya hapa nchini.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, wakati wa maadhimisho ya siku ya kazi ya Chuo cha Ustawi wa Jamii (IST).

“Binadamu wenye uzalendo na maadili mema wanawajali wenzao na hawawezi kuangamiza maisha ya wengine, wakiwamo vijana kwa kufanya biashara ya dawa za kulevya...

 

10 years ago

Mwananchi

Muhongo akemea rushwa Tanesco

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka wananchi wa vijiji vya wilayani hapa kutoa taarifa za mianya ya rushwa wakati wanapoomba kuunganishiwa umeme majumbani.

 

10 years ago

Habarileo

Paroko wa RC akemea vitendo vya rushwa

PAROKO wa Kanisa Katoliki (RC) , Parokia ya Masasi jimbo la Tunduru-Masasi mkoani Mtwara, Dominick Mkapa amekemea vitendo vya rushwa vinavyofanywa na baadhi ya watu waliopewa mamlaka serikalini mazingira yanayochangia kuwepo kwa mikataba mingi isiyo na tija kwa taifa letu.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana akemea wapimaji viwanja wanaokula rushwa

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekemea watu wanaotumia upimaji na ugawaji viwanja kama fursa ya kutengeneza ulaji.

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE WA USHETU AKEMEA VITENDO VYA RUSHWA


 Mbunge wa jimbo la Ushetu, Mheshimiwa Elias Kwandikwa akizinduajengo la  Chama cha Msingi cha Ushirika (Uyogo AMCOS) katika kataya Uyogo na kuahidi mifuko ya saruji 100 kwa ajili ya ujenzi wa jengohilo.
 Mbunge   wa   jimbo   la   Ushetu,   Mheshimiwa   Elias   Kwandikwa,akizungumza na wananchi wa kata ya Uyogo kuhusu maendeleo yajimbo   katika   miradi   inayoendelea   kutekelezwa   na   ile   iliyokamilikakatika kata hiyo.

 Mbunge wa jimbo la Ushetu, Mheshimiwa Elias Kwandikwa akikaguajengo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis akemea unyakuzi wa ardhi

Papa Francis amekemea unyakuzi wa ardhi na dhuluma wanazotendewa wakati wa mitaa duni mijini na pia akawahimiza vijana wajiepushe na ufisadi.

 

10 years ago

Habarileo

Sekta za ardhi, rushwa zaongezwa BRN

Mtendaji Mkuu wa BRN, Omari IssaOFISI ya Rais Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB), inayosimamia Mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), imeongeza sekta za kipaumbele zinazoratibiwa na mfumo huo kutoka sita hadi kufikia 13 na safari hii sekta ya ardhi , kodi na mapambano ya rushwa zimeingizwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa, ukosefu wa maadili vinachangia migogoro ya ardhi

Rushwa na kutozingatiwa kwa maadili ya taaluma ya uthamini wa ardhi na majengo vimetajwa kuchangia upotevu wa fedha na kuchangia kwa kiasi kikubwa migogoro ya ardhi. Katika kukabiliana na changamoto hiyo, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ipo kwenye mchakato wa kukamilisha rasimu ya sheria itakayowezesha kuundwa kwa chombo cha kuratibu mwenendo wa wathamini ardhi na mawakala wa majengo nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani