Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa Francis akemea unyakuzi wa ardhi

Papa Francis amekemea unyakuzi wa ardhi na dhuluma wanazotendewa wakati wa mitaa duni mijini na pia akawahimiza vijana wajiepushe na ufisadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi wapinga unyakuzi wa ardhi Kenya

Polisi nchini Kenya wamewafyatulia wanafunzi wa shule gesi ya kutoa machozi walipokuwa wakipinga unyakuzi wa ardhi waliyokuwa wakitumia kama kiwanja cha kuchezea

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa akemea vikali uavyaji mimba

Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis, amelaani vikali kitendo cha kuavya mimba akikitaja kuwa, dalili ya ‘kuogofya’ ya utamaduni wa kupotosha usiothamini maisha ya binadamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa: Mwaka mpya akemea ufisadi Roma

Papa Francis ametumia sherehe za kuupokea mwaka wa 2015 kuzungumzia tatizo la ufisadi katika mji wa nyumbani wa Rome nchini Italia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maandalizi ya ziara ya Papa Francis

Papa Francis anatarajiwa kuanza ziara yake ya kwanza kabisa barani Afrika Jumatano Novemba 25.

 

9 years ago

Mtanzania

Papa Francis kumfufua Nyerere

Part-PAR-Par8268607-1-1-0*Mama Maria Nyerere atangulia Uganda

 

NA MWANDISHI WETU

ZIARA ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis nchini Uganda imetajwa kuwa itafufua mchakato wa kumtangaza Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mtakatifu.

Kwa mujibu wa mtandao wa ETN wa nchini Uganda, ziara hiyo ya kitume ya Papa Francis itamfikisha katika eneo la Namugongo ambalo mashahidi wa imani ya dini ya Kikristu walichomwa moto.

Ni katika eneo hilo la Namugongo ambako Hayati Nyerere alitangazwa kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa Francis azungumzia familia

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani ameunga mkono haki ya wazazi kuchagua ukubwa wa familia zao.

 

5 years ago

CCM Blog

PAPA FRANCIS APIMWA CONONA

   Kiongozi wa Kansa Katoliki Duniani, Papa Francis amepimwa virusi vya corona (covid-19) na kuthibitika kuwa hajaambukizwa.
Papa Francis alipimwa virusi hivyo baada ya mmoja wa wachungaji anayeishi katika katika makazi yake kugundulika kuwa na corona.
Vyombo vya habari nchini Italia viliripoti kuwa mchungaji huyo ambaye ni ofisa wa sekretarieti ya jimbo aligundulika kuwa na virusi vya corona na kuzua hofu kuwa huenda Papa Francis naye ameambukizwa.
Kwa mujibu wa tovuti rasmi ya  Vatican,...

 

11 years ago

Mwananchi

Papa Francis na uongozi wa kipekee

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis ametimiza mwaka mmoja tangu alipochaguliwa kushika wadhifa huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani