Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa akemea vikali uavyaji mimba

Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis, amelaani vikali kitendo cha kuavya mimba akikitaja kuwa, dalili ya ‘kuogofya’ ya utamaduni wa kupotosha usiothamini maisha ya binadamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DC JOKATE AKEMEA VIKALI UTORO,MIMBA ZA UTOTONI NA UBAKAJI KWA WATOTO WADOGO

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo akifafanya jambo katika mkutano wa kazi kwa watendaji wa kata, watendaji wa vijiji, pamoja na wenyeviti wa vijiji vipatavyo 84 ambapo walikutana kwa lengo la kujadili masuala ya maendeleo pamoja na changamoto zilizopo.
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Mussa Gama akitoa mada wakati wa mkutano huo ambao aliuandaaa kwa ajili ya kuwakutanisha viongozi na watendaji mbali mbali wa ngazi za vijiji, kata pamoja na tarafa ili kujadili...

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis akemea unyakuzi wa ardhi

Papa Francis amekemea unyakuzi wa ardhi na dhuluma wanazotendewa wakati wa mitaa duni mijini na pia akawahimiza vijana wajiepushe na ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa: Mwaka mpya akemea ufisadi Roma

Papa Francis ametumia sherehe za kuupokea mwaka wa 2015 kuzungumzia tatizo la ufisadi katika mji wa nyumbani wa Rome nchini Italia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kardinali Pengo akemea utoaji mimba, ushoga

ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo, amekemea tabia ya utoaji mimba inayofanywa na baadhi ya wanawake nchini kwani kufanya hivyo ni...

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

10 years ago

Vijimambo

NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO






Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli achuana vikali na Lowassa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kutoa matokeo ya awali ya urais katika majimbo mbalimbali ya Tanzania ambayo mchuano mkali unaonekana kuwapo kati ya Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli na Mgombea kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita vikali vyazuka Yemen

Ripoti kutoka Yemen zinasema kuwa kumekuwa na vita vikali kati ya jeshi la taifa hilo na waasi wa ki-shia kazkazini mwa taifa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani