Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa: Mwaka mpya akemea ufisadi Roma

Papa Francis ametumia sherehe za kuupokea mwaka wa 2015 kuzungumzia tatizo la ufisadi katika mji wa nyumbani wa Rome nchini Italia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Papa Francisko atoa salamu za Mwaka Mpya

>Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francisko ametoa ujumbe maalumu wa salamu za Mwaka Mpya, akisema vitendo vya rushwa na ufisadi ndivyo vinavyotishia kuuvuruga umoja na amani dunia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa akemea vikali uavyaji mimba

Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis, amelaani vikali kitendo cha kuavya mimba akikitaja kuwa, dalili ya ‘kuogofya’ ya utamaduni wa kupotosha usiothamini maisha ya binadamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis akemea unyakuzi wa ardhi

Papa Francis amekemea unyakuzi wa ardhi na dhuluma wanazotendewa wakati wa mitaa duni mijini na pia akawahimiza vijana wajiepushe na ufisadi.

 

9 years ago

Bongo5

Wanataka kuufungia wimbo wangu mpya ‘Viva Roma viva’ kisa tu nimeongea ukweli — Roma

Saa chache baada ya wimbo mpya wa Roma ‘Viva Roma viva’ kutoka September 9, rapper huyo amedai kuwa ametishiwa wimbo huo kufungiwa. Kupitia Instagram, majira ya saa mbili usiku Roma aliandika; “WANATAKA KUIFUNGIA NYIMBO YANGU!! KISA TU NIMEONGEA UKWELI!! INANIUMA SANA NATAMANI HATA KULIA NIKIONA UKWELI HAUPEWI NAFASI!! NIOMBEENI NA MNIKUMBUKE KWENYE SALA ZENU NDUGU […]

 

10 years ago

Bongo5

Ngoma mbili mpya za Roma Mkatoliki zinakuja

Roma Mkatoliki anatarajia kuachia nyimbo mbili kwa mpigo kabla mwaka haujamalizika. Miongoni mwa ngoma hizi ni pamoja na ile iitwayo One Two, One Two itakayokuwa ikiendana na siku yake ya kuzaliwa. Roma ameiambia Bongo5 kuwa ameamua kufanya hivyo ili kuwaridhisha mashabiki wa muziki. “Project zipo zaidi ya moja ili kufungua mwaka na nguvu mpya, kwa […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis kuzindua mwaka wa huruma

Papa Francis leo atazindua mwaka wa huruma katika kanisa hilo, kipindi ambacho mapadri wataruhusiwa kutoa msamaha kwa wanawake walioavya mimba wanaoomba msamaha.

 

9 years ago

Bongo5

Roma atangaza kuachia wimbo mpya October 25 siku ya uchaguzi

Baada ya kukumbana na changamoto nyingi alipoachia wimbo wake wa ‘Viva Roma Viva’, Rapper wa Tongwe Records, Roma ametangaza kuja na wimbo mpya ambao atauachia siku ya uchaguzi mkuu. October 25 siku ambayo Watanzania watajipanga kwenye mistari kwajili ya kushiriki zoezi muhimu la kuwachagua viongozi wanaowataka, rapper Roma amepanga kuwapa wimbo mpya utakaotoka siku hiyo. […]

 

9 years ago

Bongo5

Viva Roma haijafungiwa, inabaniwa — Roma

Rapper Roma Mkatoliki amesema hajapokea taarifa yoyote ya kufungiwa kwa wimbo wake mpya ‘Viva Roma’ kama watu wanavyodai. Roma ameimbia Bongo5 kuwa licha ya wimbo huo kukataliwa kupigwa na baadhi ya vituo vya redio amepokea ofa nyingi za kulipiwa video ili kuufanya wimbo huo ufanye vizuri zaidi. “Kiukweli mimi kama artist nipo dilemma, kwa sababu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani