Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sekta za ardhi, rushwa zaongezwa BRN

Mtendaji Mkuu wa BRN, Omari IssaOFISI ya Rais Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB), inayosimamia Mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), imeongeza sekta za kipaumbele zinazoratibiwa na mfumo huo kutoka sita hadi kufikia 13 na safari hii sekta ya ardhi , kodi na mapambano ya rushwa zimeingizwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Ubunifu wa BRN wavutia wawekezaji sekta binafsi


Mkutano wa kwanza wa aina yake ulioandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) umefanikiwa kuwakutanisha mahali pamoja wawekezaji wakubwa kutoka mataifa mbalimbali ili kujionea fursa za uwekezaji katika miradi mbalimbali iliyopewa kipaumbele katika Mpango huo.BRN ni Mpango ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania tangu Julai mosi, 2013 kwa lengo la kuchagua sekta chache za kipaumbele na kuweka mfumo madhubuti unaoweka malengo na muda wa utekelezaji wa kila mradi huku mawaziri husika wakiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mpango wa BRN Sekta ya Elimu Unamapungufu — HakiElimu

IMG_00361

Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Wengine kushoto na kulia ni maofisa wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika mkutano huo.

Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Wengine kushoto na kulia ni maofisa wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika mkutano huo.

Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Wengine kushoto na kulia ni maofisa wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika mkutano huo.

Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Wengine kushoto na kulia ni maofisa wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika mkutano huo.

Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Gabagambi adai BRN inavurugwa sekta ya kilimo

Mmoja kati ya wataalamu walioandaa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Dk Damian Gabagambi amesema utekelezaji wa mpango huo katika sekta ya kilimo ni tofauti na makubaliano waliyoafikiana.

 

10 years ago

Vijimambo

Mpango wa BRN Sekta ya Elimu Unamapungufu - HakiElimu

Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Wengine kushoto na kulia ni maofisa wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika mkutano huo. Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Wengine kushoto na kulia ni maofisa wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika mkutano huoKaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Wengine kushoto na kulia ni maofisa wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika mkutano huo. Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Wengine kushoto na kulia ni maofisa wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika mkutano huoKaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Wengine kushoto na kulia ni maofisa wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika mkutano huo. Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sekta zinazotekeleza BRN zakusanya bil. 215/-

SEKTA zinazotekeleza mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) zimefanikiwa kukusanya sh bilioni 215 zilizoibuliwa kutoka kwenye maabara za BRN. Kiongozi wa mfumo huo katika Wizara ya Fedha, Emmanuel Tutuba, alibainisha...

 

10 years ago

Michuzi

Kuingia kwa sekta ya afya katika BRN kunaleta matumaini mapya

Na Annastazia Rugaba, PDB habariMtendaji mkuu wa Ofisi ya Rais, usimamizi wa utekelezaji wa miradi (PDB) Bwana Omari Issa, leo amekabidhi rasmi taarifa ya mkakati wa kuboresha sekta ya afya chini ya BRN kwa jumuia ya wahisani wa maendeleo. Makabidhiano hayo yamefanyika katika ofisi za PDB ambapo jumuiya ya wahisani ilipata fursa ya kusikiliza kwa kina namna BRN inavyofanya kazi ya kuleta matumaini mapya kwa watanzania kupitia sekta za kipaumbele. Sekta ya afya imekuwa ikijaribu kuboresha...

 

11 years ago

Mwananchi

Makundi ya rushwa katika sekta ya elimu

Tanzania iko katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa wenye dhamira ya kubadili mifumo kadhaa ya kisiasa, kiuchumi na kijamii hasa elimu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lowassa akemea rushwa kwenye ardhi

MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, (CCM), amekemea tabia ya baadhi ya viongozi wa serikali na mila wanaochukua rushwa na kuuza ardhi za wananchi wakiwemo wajane kinyume cha utaratibu. Aidha, ameitaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa, ukosefu wa maadili vinachangia migogoro ya ardhi

Rushwa na kutozingatiwa kwa maadili ya taaluma ya uthamini wa ardhi na majengo vimetajwa kuchangia upotevu wa fedha na kuchangia kwa kiasi kikubwa migogoro ya ardhi. Katika kukabiliana na changamoto hiyo, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ipo kwenye mchakato wa kukamilisha rasimu ya sheria itakayowezesha kuundwa kwa chombo cha kuratibu mwenendo wa wathamini ardhi na mawakala wa majengo nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani