Rushwa, ukosefu wa maadili vinachangia migogoro ya ardhi
Rushwa na kutozingatiwa kwa maadili ya taaluma ya uthamini wa ardhi na majengo vimetajwa kuchangia upotevu wa fedha na kuchangia kwa kiasi kikubwa migogoro ya ardhi. Katika kukabiliana na changamoto hiyo, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ipo kwenye mchakato wa kukamilisha rasimu ya sheria itakayowezesha kuundwa kwa chombo cha kuratibu mwenendo wa wathamini ardhi na mawakala wa majengo nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMOROGORO KUSINI JIMBO LINALOMALIZWA NA UKABILA, RUSHWA NA MIGOGORO YA ARDHI
5 years ago
CCM BlogOFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PCdcQRGzMH4/XrmCoY6R0sI/AAAAAAALp0A/ZcpmEtyenGsxIo5PwJ6i6h8Q4Ahde4mwgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
Migogoro ya ardhi kaa la Moto,Kufunguliwa ofisi za ardhi mikoani kuleta ahueni
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Ukosefu wa maadili tatizo sugu kwa vijana
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Migogoro ya ardhi Kisarawe itatuliwe
WAHENGA walisema “okoa jahazi kabla halijazama”, na mimi ndivyo ninavyowataka viongozi wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wakiwamo mkuu wa mkoa, wilaya, mkurugenzi, mbunge na madiwani washikamame kutatua migogoro ya...
11 years ago
Mwananchi20 Jan
‘Migogoro ya ardhi itatuliwe haraka’
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Tukomeshe haraka migogoro ya ardhi
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
‘Migogoro ya ardhi inadumaza maendeleo’
BAADHI ya wakazi wa mji wa Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani wamesema migogoro kati ya wakulima na wafugaji ni chanzo cha kudumaza maendeleo katika maeneo yao. Wananchi hao katika vijiji tofauti...