MOROGORO KUSINI JIMBO LINALOMALIZWA NA UKABILA, RUSHWA NA MIGOGORO YA ARDHI
Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Morogoro Innocent Kalogeris akizungumza jambo. Stori: Dustan shekidele Wiki iliyopita, Gazeti la Uwazi lilifunga safari hadi kwenye Jimbo la Morogoro Kusini linaloongozwa na Mheshimiwa Innocent Kalogeris kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Morogoro ambapo mwandishi wetu alifanikiwa kuzungumza na wananchi mbalimbali walioleza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Rushwa, ukosefu wa maadili vinachangia migogoro ya ardhi
11 years ago
Dewji Blog26 Jul
Mkuu wa Mkoa Morogoro aongoza mamia kumzika Mke wa Mbunge a Jimbo la Morogoro Kusini
Mkuu wa mkoa akimpeleka Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh Innocent Kalogeris kupokea mwili wa mpendwa mke wake,kulia ni dada wa mbunge huyo.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Dr Joel Bendera Leo amewaongoza mamia ya wananchi wa mkoa wa Morogoro kumzika Mke wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, Mh lnocenti Kalogeris watu mbali mbali wakiwemo wabunge,wakuu wa mikoa wa staafu na watu mashuhuri wamefurika nyumbani kwa mbunge huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa...
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA MOROGORO AONGOZA MAMIA KUMZIKA MKE WA MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO KUSINI
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini atekeleza ahadi yake ya kuiwezesha CCM wilaya ya Morogoro vijijini
Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris (kulia) akikabidhi Pikipiki 11 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jazar ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa ya kusaidia chama cha Mapinduzi kujitegemea kiuchumi. Mh Kalogeris amekabidhi pikipiki hizo akiwa na lengo kila kata kuwa na Pikipiki moja uwe mradi wa Chama ili kuwezesha Kila kata Kuendesha Shuguli za Chama Bila kuwa wategemezi .Mbunge Kalogeris amehadi kuhakikisha kata zote za jimbo hilo zinapatiwa Pikipiki.Mh...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO MOROGORO KUSINI ATEKELEZA AHADI YAKE YA KUWEZESHA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA MOROGORO VIJIJINI
10 years ago
MichuziMBENA KIDEDEA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO KUSINI
WABUNGE wanne wa zamani katika majimbo ya mkoa wa Morogoro wamefanikiwa kutetea nafasi zao kwenye uchaguzi wa kura za maoni zilizofanyika Augosti 1, mwaka huu nchini kote kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Walionusurika kwa kutetea nafasi zao ni Mbunge wa Jimbo la Ulanga Mashariki, Celina Kombani, Ulanga Magharibi , Dk Haji Mponda, Jimbo la Morogoro Mjini Abdulaziz Abood na Jimbo la Gairo , Ahmed Shabiby .
Wabunge walioanguka katika kura za maoni ni pamoja na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--5mLAfjABSg/VdTCXx72UWI/AAAAAAAHyRs/1DYxfCvdicE/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
PROSPER MBENA APOKELEWA NA MAMIA YA WANANCHI JIMBO LA MOROGORO KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/--5mLAfjABSg/VdTCXx72UWI/AAAAAAAHyRs/1DYxfCvdicE/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l7BXKHVvbLg/VdTCX354KcI/AAAAAAAHyRo/RQOafM0Bp5M/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qnvChWsd3RQ/VZx7yHPQNtI/AAAAAAADw5I/DBe_kDI_nkQ/s72-c/8a856fd74fb85a540029094daf5b9117.jpg)
KHALIFA KONDO MPONDA MGOMBEA UBUNGE WILAYA MOROGORO VIJIJINI, JIMBO KUSINI-MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-qnvChWsd3RQ/VZx7yHPQNtI/AAAAAAADw5I/DBe_kDI_nkQ/s640/8a856fd74fb85a540029094daf5b9117.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-itwRtq5gqU8/VZx7xQYM0II/AAAAAAADw5E/XlfSP86eTJY/s640/5df3628bf625e882535e05312bfea44a.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1DZAos6IfEg/VZx7xZvwOAI/AAAAAAADw48/PAol73FuGcQ/s640/35fb1b0e558f1d7915c3126c2323addd.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MfZsv6CmZwU/VZx7xCdogEI/AAAAAAADw5A/JJFpCBQjc5c/s640/60703759d1c3f35ef775205d879e1e17.jpg)
5 years ago
CCM BlogOFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10