Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOROGORO KUSINI JIMBO LINALOMALIZWA NA UKABILA, RUSHWA NA MIGOGORO YA ARDHI

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Morogoro Innocent Kalogeris akizungumza jambo. Stori: Dustan shekidele
Wiki iliyopita, Gazeti la Uwazi lilifunga safari hadi kwenye Jimbo la Morogoro Kusini linaloongozwa na Mheshimiwa Innocent Kalogeris kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Morogoro ambapo mwandishi wetu alifanikiwa kuzungumza na wananchi mbalimbali walioleza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rushwa, ukosefu wa maadili vinachangia migogoro ya ardhi

Rushwa na kutozingatiwa kwa maadili ya taaluma ya uthamini wa ardhi na majengo vimetajwa kuchangia upotevu wa fedha na kuchangia kwa kiasi kikubwa migogoro ya ardhi. Katika kukabiliana na changamoto hiyo, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ipo kwenye mchakato wa kukamilisha rasimu ya sheria itakayowezesha kuundwa kwa chombo cha kuratibu mwenendo wa wathamini ardhi na mawakala wa majengo nchini.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkuu wa Mkoa Morogoro aongoza mamia kumzika Mke wa Mbunge a Jimbo la Morogoro Kusini

Mkuu wa mkoa akimpeleka Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh  Innocent Kalogeris  kupokea mwili wa mpendwa mke wake,kulia ni dada wa mbunge huyo.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Dr Joel Bendera Leo amewaongoza mamia ya wananchi wa mkoa wa Morogoro kumzika Mke wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, Mh lnocenti Kalogeris watu mbali mbali wakiwemo wabunge,wakuu wa mikoa wa staafu na watu mashuhuri wamefurika nyumbani kwa mbunge huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA MOROGORO AONGOZA MAMIA KUMZIKA MKE WA MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO KUSINI

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Dr Joel Bendera Leo amewaongoza mamia ya wananchi wa mkoa wa Morogoro kumzika Mke wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, Mh lnocenti Kalogeris. Watu mbali mbali wakiwemo wabunge,wakuu wa mikoa wastaafu na watu mashuhuri wamefurika nyumbani kwa mbunge huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Morogoro  Mkuu wa mkoa akimpeleka Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh  Innocent Kalogeris  kupokea mwili wa mpendwa mke wake,kulia ni dada wa mbunge huyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini atekeleza ahadi yake ya kuiwezesha CCM wilaya ya Morogoro vijijini

IMG_0168

Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris (kulia) akikabidhi Pikipiki 11 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jazar ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa ya kusaidia chama cha Mapinduzi kujitegemea kiuchumi. Mh Kalogeris amekabidhi pikipiki hizo akiwa na lengo kila kata kuwa na Pikipiki moja uwe mradi wa Chama ili kuwezesha Kila kata Kuendesha Shuguli za Chama Bila kuwa wategemezi .Mbunge Kalogeris amehadi kuhakikisha kata zote za jimbo hilo zinapatiwa Pikipiki.Mh...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA JIMBO MOROGORO KUSINI ATEKELEZA AHADI YAKE YA KUWEZESHA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA MOROGORO VIJIJINI

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris (kulia) Ahimkabidhi Pikipiki 11 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jazar Ikiwa Ni ahadi yake aliyoitoa ya Kukusaidia chama cha Mapinduzi Kujitegemea Kiuchumi.Mh Kalogeris Amekabidhi pikipiki hizo akiwa na Lengo Kila kata Kuwa na Pikipiki MMoja uwe Mradi wa Chama ili kuwezesha Kila kata Kuendesha Shuguli za Chama Bila kuwa wategemezi .Mbunge Kalogeris amehadi kuhakikisha kata zote za jimbo hilo zinapatiwa...

 

10 years ago

Michuzi

MBENA KIDEDEA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO KUSINI

Na John Nditi, Morogoro
WABUNGE wanne wa zamani katika majimbo ya mkoa wa Morogoro wamefanikiwa kutetea nafasi zao kwenye uchaguzi wa kura za maoni zilizofanyika Augosti 1, mwaka huu nchini kote kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Walionusurika kwa kutetea nafasi zao ni Mbunge wa Jimbo la Ulanga Mashariki, Celina Kombani, Ulanga Magharibi , Dk Haji Mponda, Jimbo la Morogoro Mjini Abdulaziz Abood na Jimbo la Gairo , Ahmed Shabiby .
Wabunge walioanguka katika kura za maoni ni pamoja na...

 

9 years ago

Michuzi

PROSPER MBENA APOKELEWA NA MAMIA YA WANANCHI JIMBO LA MOROGORO KUSINI

 Mamia ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka  Kata mbalimbali za Tarafa ya Matombo , wilayani Morogoro, wakimlaki mgombea mteule wa chama hicho katika nafasi ya Ubunge Jimbo la Morogoro Kusini, Prosper Mbena ,( aliyeshika bahasha ) alipowasili Augosti 18,2015  eneo la Mtamba ,  Kata ya Kisemu, tarafa ya Matombo kwa ajili ya kupata wadhamini kwenye  fomu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mamia ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka  Kata mbalimbali za Tarafa ya Matombo ,...

 

10 years ago

Vijimambo

KHALIFA KONDO MPONDA MGOMBEA UBUNGE WILAYA MOROGORO VIJIJINI, JIMBO KUSINI-MASHARIKI

Mtangaza nia ya kugombea Ubunge Wilaya ya Morogoro vijijini, jimbo kusini- mashariki Ndugu Khalifa Kondo Mponda.Ndugu Khalifa Kondo Mponda akiwa ametoka kupata baraka za chifu mpya wa Waluguru Kingalu 15Ndugu Khalifa Kondo Mponda akijinadi kwa wananchi wake akiwemo chifu mpya wa Waluguru Kingalu 15Ndugu Khalifa Kondo Mponda akipata baraka toka kwa Chifu mpya wa Waluguru Kingalu 15

 

5 years ago

CCM Blog

OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua ofisi ya ardhi ya mkoa wa Manyara jana. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara Alexzander Mnyeti na kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mary Makondo. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akioongozwa na Kamishna Msaidizi wa Ofisi ya Ardhi mkoa wa Manyara Leonard Msafiri (kushoto) wakati wa uzinduzi wa ofisi ya ardhi ya mkoa huo jana. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani