Mongela akemea rushwa hospitalini
MKUU wa Mkoa wa Kagera, John Mongela ameonya wataalamu wa idara ya afya hususani katika zahanati na vituo vya afya, wanaojihusisha na vitendo vya kuomba rushwa kwa wajawazito.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania16 May
Sumaye akemea rushwa, ubinafsi
NA MWANDISHI WETU, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema lawama zinazotolewa na wananchi nchini zinatokana na kukithiri kwa rushwa, ufisadi, ubinafsi na uwepo wa biashara za dawa za kulevya hapa nchini.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, wakati wa maadhimisho ya siku ya kazi ya Chuo cha Ustawi wa Jamii (IST).
“Binadamu wenye uzalendo na maadili mema wanawajali wenzao na hawawezi kuangamiza maisha ya wengine, wakiwamo vijana kwa kufanya biashara ya dawa za kulevya...
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Muhongo akemea rushwa Tanesco
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Lowassa akemea rushwa kwenye ardhi
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, (CCM), amekemea tabia ya baadhi ya viongozi wa serikali na mila wanaochukua rushwa na kuuza ardhi za wananchi wakiwemo wajane kinyume cha utaratibu. Aidha, ameitaka...
10 years ago
Habarileo06 Apr
Paroko wa RC akemea vitendo vya rushwa
PAROKO wa Kanisa Katoliki (RC) , Parokia ya Masasi jimbo la Tunduru-Masasi mkoani Mtwara, Dominick Mkapa amekemea vitendo vya rushwa vinavyofanywa na baadhi ya watu waliopewa mamlaka serikalini mazingira yanayochangia kuwepo kwa mikataba mingi isiyo na tija kwa taifa letu.
10 years ago
Habarileo27 Jun
Kinana akemea wapimaji viwanja wanaokula rushwa
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekemea watu wanaotumia upimaji na ugawaji viwanja kama fursa ya kutengeneza ulaji.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pSnHdW4-aWk/XkeMrJcXcxI/AAAAAAAAmso/4eE7cFXaosgxcktPfJuewmHn0JK-4kw2QCEwYBhgL/s72-c/thumbnail%2BMBUNGE%2B1.jpg)
MBUNGE WA USHETU AKEMEA VITENDO VYA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pSnHdW4-aWk/XkeMrJcXcxI/AAAAAAAAmso/4eE7cFXaosgxcktPfJuewmHn0JK-4kw2QCEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B1.jpg)
Mbunge wa jimbo la Ushetu, Mheshimiwa Elias Kwandikwa akizinduajengo la Chama cha Msingi cha Ushirika (Uyogo AMCOS) katika kataya Uyogo na kuahidi mifuko ya saruji 100 kwa ajili ya ujenzi wa jengohilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-IsGL1eVMGEw/XkeMrAJQusI/AAAAAAAAmss/5aMvIqtqUg87SbCHIO2Hf3PiGiDXpQ8aACEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xf0RSLQ-nV0/XkeMrEJHb4I/AAAAAAAAmss/qWkgER-2ofAXT5EAJmVhIRUOYZ9It_dkwCEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Mongela amvaa JK
WAKATI tuzo ya kuuenzi Muungano iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Jaji Joseph Warioba ikiibua maswali, Rais mstaafu wa Bunge la Afrika, Gertrude Mongela, amekosoa upendeleo uliofanywa na Rais Jakaya...
10 years ago
TheCitizen02 Jul
Our democracy on test: Mongela
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Mongela aibukia Chadema
![Kada wa CCM, Balozi Getrude Mongella, akisalimiana na mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), Hawa Mwaifunga (kulia), wakati wa ufunguzi wa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa baraza hilo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Getrude-Mongella.jpg)
Kada wa CCM, Balozi Getrude Mongella, akisalimiana na mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), Hawa Mwaifunga (kulia), wakati wa ufunguzi wa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa baraza hilo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Gertrude Mongela, ameibukia kwenye Uchaguzi Mkuu wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (BAWACHA), na kueleza kwamba wanawake...