Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE WA USHETU AKEMEA VITENDO VYA RUSHWA


 Mbunge wa jimbo la Ushetu, Mheshimiwa Elias Kwandikwa akizinduajengo la  Chama cha Msingi cha Ushirika (Uyogo AMCOS) katika kataya Uyogo na kuahidi mifuko ya saruji 100 kwa ajili ya ujenzi wa jengohilo.
 Mbunge   wa   jimbo   la   Ushetu,   Mheshimiwa   Elias   Kwandikwa,akizungumza na wananchi wa kata ya Uyogo kuhusu maendeleo yajimbo   katika   miradi   inayoendelea   kutekelezwa   na   ile   iliyokamilikakatika kata hiyo.

 Mbunge wa jimbo la Ushetu, Mheshimiwa Elias Kwandikwa akikaguajengo...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Paroko wa RC akemea vitendo vya rushwa

PAROKO wa Kanisa Katoliki (RC) , Parokia ya Masasi jimbo la Tunduru-Masasi mkoani Mtwara, Dominick Mkapa amekemea vitendo vya rushwa vinavyofanywa na baadhi ya watu waliopewa mamlaka serikalini mazingira yanayochangia kuwepo kwa mikataba mingi isiyo na tija kwa taifa letu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafahamu washukiwa wa vitendo vya rushwa

Maafisa sita wa soka wamekamatwa mjini Zurich nchini Uswisi kwa shutuma za vitendo vya rushwa ya dola milioni 100

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini walalamikia vitendo vya rushwa Kasulu

VIONGOZI wa dini katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma wamewalalamikia baadhi ya watendaji wa Serikali wilayani hapo, mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kuwa wamekithiri kwa vitendo vya rushwa, hali inayotishia haki ya wananchi wa wilaya hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA: WATU WOTE WATAKAOJIHUSISHA NA VITENDO VYA RUSHWA WAKAMATWE



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nachingwea akiwa njiani kwenda  Ruangwa kwa ziara ya kikazi, Juni 20, 2020.  Wa pili kushoto ni mkewe Mary na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiongozwa na...

 

10 years ago

GPL

KAMANDA MPINGA: WANANCHI TUPENI TAARIFA KAMA KUNA VITENDO VYA RUSHWA

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa mara waonapo vitendo vya rushwa. Naibu Kamishna Mpinga ameyasema hayo wakati akihojiwa na Global TV Online hivi karibuni.

 

10 years ago

Mwananchi

Muhongo akemea rushwa Tanesco

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka wananchi wa vijiji vya wilayani hapa kutoa taarifa za mianya ya rushwa wakati wanapoomba kuunganishiwa umeme majumbani.

 

9 years ago

Habarileo

Mongela akemea rushwa hospitalini

MKUU wa Mkoa wa Kagera, John Mongela ameonya wataalamu wa idara ya afya hususani katika zahanati na vituo vya afya, wanaojihusisha na vitendo vya kuomba rushwa kwa wajawazito.

 

10 years ago

Mtanzania

Sumaye akemea rushwa, ubinafsi

sumayeNA MWANDISHI WETU, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema lawama zinazotolewa na wananchi nchini zinatokana na kukithiri kwa rushwa, ufisadi, ubinafsi na uwepo wa biashara za dawa za kulevya hapa nchini.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, wakati wa maadhimisho ya siku ya kazi ya Chuo cha Ustawi wa Jamii (IST).

“Binadamu wenye uzalendo na maadili mema wanawajali wenzao na hawawezi kuangamiza maisha ya wengine, wakiwamo vijana kwa kufanya biashara ya dawa za kulevya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lowassa akemea rushwa kwenye ardhi

MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, (CCM), amekemea tabia ya baadhi ya viongozi wa serikali na mila wanaochukua rushwa na kuuza ardhi za wananchi wakiwemo wajane kinyume cha utaratibu. Aidha, ameitaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani