MAJALIWA: WATU WOTE WATAKAOJIHUSISHA NA VITENDO VYA RUSHWA WAKAMATWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-nt1TP_UmusE/Xu8jucSSIRI/AAAAAAALuzI/Z47s1eQpi3AF80i4fg3wbV-2hgAYys4OQCLcBGAsYHQ/s72-c/07d77c1f-02de-4503-8d43-03c9443d0b65.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nachingwea akiwa njiani kwenda Ruangwa kwa ziara ya kikazi, Juni 20, 2020. Wa pili kushoto ni mkewe Mary na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiongozwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Apr
Paroko wa RC akemea vitendo vya rushwa
PAROKO wa Kanisa Katoliki (RC) , Parokia ya Masasi jimbo la Tunduru-Masasi mkoani Mtwara, Dominick Mkapa amekemea vitendo vya rushwa vinavyofanywa na baadhi ya watu waliopewa mamlaka serikalini mazingira yanayochangia kuwepo kwa mikataba mingi isiyo na tija kwa taifa letu.
10 years ago
BBCSwahili27 May
Wafahamu washukiwa wa vitendo vya rushwa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pSnHdW4-aWk/XkeMrJcXcxI/AAAAAAAAmso/4eE7cFXaosgxcktPfJuewmHn0JK-4kw2QCEwYBhgL/s72-c/thumbnail%2BMBUNGE%2B1.jpg)
MBUNGE WA USHETU AKEMEA VITENDO VYA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pSnHdW4-aWk/XkeMrJcXcxI/AAAAAAAAmso/4eE7cFXaosgxcktPfJuewmHn0JK-4kw2QCEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B1.jpg)
Mbunge wa jimbo la Ushetu, Mheshimiwa Elias Kwandikwa akizinduajengo la Chama cha Msingi cha Ushirika (Uyogo AMCOS) katika kataya Uyogo na kuahidi mifuko ya saruji 100 kwa ajili ya ujenzi wa jengohilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-IsGL1eVMGEw/XkeMrAJQusI/AAAAAAAAmss/5aMvIqtqUg87SbCHIO2Hf3PiGiDXpQ8aACEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xf0RSLQ-nV0/XkeMrEJHb4I/AAAAAAAAmss/qWkgER-2ofAXT5EAJmVhIRUOYZ9It_dkwCEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B3.jpg)
11 years ago
Habarileo10 Apr
Viongozi wa dini walalamikia vitendo vya rushwa Kasulu
VIONGOZI wa dini katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma wamewalalamikia baadhi ya watendaji wa Serikali wilayani hapo, mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kuwa wamekithiri kwa vitendo vya rushwa, hali inayotishia haki ya wananchi wa wilaya hiyo.
10 years ago
GPL16 Sep
KAMANDA MPINGA: WANANCHI TUPENI TAARIFA KAMA KUNA VITENDO VYA RUSHWA
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
THBUB yalaani mauaji na vitendo vya ukatili wa viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi!
Mtoto Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kwa kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. (Maktaba;Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaka 2011).
Press Release_Albino Kukatwa Viungo by moblog
5 years ago
MichuziBARAZA LA WAFANYAKAZI NFRA WAASWA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA VITENDO
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Wizara ya Kilimo Bi Hilda Kinanga akisisitiza jambo wakati akimuwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya kwenye ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi lililofanyika leo tarehe 21 Mei 2020 katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha Ujenzi Mkoani Morogoro. Wengine pichani ni Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA Ndg Milton Lupa (Kulia) na Mwenyekiti wa Chama cha...
5 years ago
MichuziBARAZA LA WAFANYAKAZI NFRA PAMBANANENI NA RUSHWA KWA VITENDO-HILDA KINANGA
5 years ago
CCM BlogSERIKALI ITASHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WATANZANIA WOTE BILA YA UBAGUZI-MAJALIWA