SERIKALI ITASHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WATANZANIA WOTE BILA YA UBAGUZI-MAJALIWA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi gari la kubeba wagonjwa, Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hashim Mgandilwa kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Luchelegwa wilayani humo, Juni 24, 2020. Mheshimiwa Majaliwa alikuwa katika ziara ya kikazi wilayani humo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole, Ramadhani Hamadi mkazi wa Dar es Salaam aliyelazwa katika Zahanati ya Nandagala wilayani Ruangwa wakati alipotembelea Zahanati hiyo, Juni 24, 2020. (Picha na Ofisi ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV20 Nov
Kassim Majaliwa aahidi kuwajibika bila ubaguzi
Waziri mkuu mteule Mh. Kassim Majaliwa amesisitiza juu ya mshikamano baina ya wabunge katika kufanikisha malengo ya shuguli za Serikali na kuahidi kufanya kazi kwa kufika majimboni akiutaja mtindo huu kuwa wenye ufanisi zaidi.
Amebainisha hayo mara baada ya wabunge kuthibitisha jina na nafasi yake ya uwaziri mkuu kwa kura 258 sawa na asilimia 73.5.
Mheshimiwa Majaliwa ambaye ni mbunge Luangwa aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwemo ya ukuu wa wilaya na kuwa naibu waziri ofisi...
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Mpinga awaagiza madiwani wa Mkalama kufanya kazi na serikali za vijiji bila ubaguzi wa vyama
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida, James Mpinga, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha kawaida cha madiwani wa halmashauri hiyo. Mwenyekiti James, aliwataka madiwani kufanya kazi kwa karibu na serikali mpya za vijiji bila kujali za chama gani cha siasa.
Na Nathaniel Limu, Mkalama
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida, James Mpinga, ameagiza madiwani kufanya kazi na serikali za vijiji zilizochaguliwa kwenye uchaguzi uliopita bila kujali...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-32eDfJ9r9Sw/Vfbre1oClGI/AAAAAAAACA8/DLgNMd5bqWM/s72-c/OTH_4071.jpg)
LOWASSA AENDEKEA NA ZIARA YA KAMPENI MKOANI SHINYANGA LEO, AAHIDI KUUNDA SERIKALI ITAKAYOCHANGAMKIA MAENDELEO YA KUWANUFAISHA WATANZANIA WOTE
![](http://3.bp.blogspot.com/-32eDfJ9r9Sw/Vfbre1oClGI/AAAAAAAACA8/DLgNMd5bqWM/s640/OTH_4071.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-47ouN1OIytU/VfbrgfRz0hI/AAAAAAAACBE/aXW5MV3hRe4/s640/OTH_4076.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xfB_vX_10Ss/default.jpg)
news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.
Kufuatia mvua ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.
Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa.
Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nt1TP_UmusE/Xu8jucSSIRI/AAAAAAALuzI/Z47s1eQpi3AF80i4fg3wbV-2hgAYys4OQCLcBGAsYHQ/s72-c/07d77c1f-02de-4503-8d43-03c9443d0b65.jpg)
MAJALIWA: WATU WOTE WATAKAOJIHUSISHA NA VITENDO VYA RUSHWA WAKAMATWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-nt1TP_UmusE/Xu8jucSSIRI/AAAAAAALuzI/Z47s1eQpi3AF80i4fg3wbV-2hgAYys4OQCLcBGAsYHQ/s640/07d77c1f-02de-4503-8d43-03c9443d0b65.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nachingwea akiwa njiani kwenda Ruangwa kwa ziara ya kikazi, Juni 20, 2020. Wa pili kushoto ni mkewe Mary na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6397f8ff-75bc-47a0-b5f4-bf4aad6a13e1.jpg)
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Watafukuzwa mawaziri wote bila kupata tiba
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-nSxMkIUCmyY/XmscTPB1k6I/AAAAAAAAwdI/RcRU3cCgKocY3yRox4j88CogiqxEM4HewCLcBGAsYHQ/s72-c/MAJALIWA%2BJULAI%2B22.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA: WANAFUNZI WOTE WALIOZUIWA SABABU YA CORONA WASOME ONLINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-nSxMkIUCmyY/XmscTPB1k6I/AAAAAAAAwdI/RcRU3cCgKocY3yRox4j88CogiqxEM4HewCLcBGAsYHQ/s640/MAJALIWA%2BJULAI%2B22.jpg)
Waziri Mkuu ameyasema hayo katika mahafali ya 38 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT), katika uwanja wa Ilulu mjini Lindi ambapo amesema baada ya virusi vya corona kuikumba China vyuo vilifungwa na sasa vimefunguliwa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-WMnjdfGR8bg/TzPHieqNQgI/AAAAAAAA9RI/G_EIZk8NELk/s72-c/2.jpg)
Nusu ya Watanzania wameshuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira
heshima watu wenye ulemavu
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMnjdfGR8bg/TzPHieqNQgI/AAAAAAAA9RI/G_EIZk8NELk/s1600/2.jpg)
4 Novemba 2014, Dar es Salaam: Karibu nusu ya wananchi (46%) wameripoti kuwahi kushuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira. Wakati huo huo, ni wananchi wawili tu kati ya kumi (17%) waliokiri kufahamu asasi/mashirika yanayotoa upendeleo kwenye suala la kuwaajiri watu wenye ulemavu. Wananchi waliripoti kuwa miongoni mwa mashirika haya asilimia 38 ni taasisi za kiserikali. Vile vile wananchi waliripoti...
5 years ago
MichuziMAJALIWA: ATAKAYETHIBITIKA NA CORONA APELEKWE ENEO MAALUMU BILA KUJALI CHEO
Amewataka Watanzania wazingatie masharti ya afya kwa kufuata ushauri unaotolewa na Serikali kwa sababu hivi sasa nchi yetu na dunia kwa ujumla inapitia katika kipindi kigumu pia,waendelee kupuuza taarifa za uzushi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii.
Waziri Mkuu...