Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpinga awaagiza madiwani wa Mkalama kufanya kazi na serikali za vijiji bila ubaguzi wa vyama

DSC03886

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida, James Mpinga, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha kawaida cha madiwani wa halmashauri hiyo. Mwenyekiti James, aliwataka madiwani kufanya kazi kwa karibu na serikali mpya za vijiji bila kujali za chama gani cha siasa.

Na Nathaniel Limu, Mkalama

 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida, James Mpinga, ameagiza madiwani kufanya kazi na serikali za vijiji zilizochaguliwa kwenye uchaguzi uliopita bila kujali...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI ITASHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WATANZANIA WOTE BILA YA UBAGUZI-MAJALIWA

PMO_3740Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi gari la kubeba wagonjwa, Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hashim Mgandilwa kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Luchelegwa  wilayani humo, Juni 24, 2020. Mheshimiwa Majaliwa alikuwa katika ziara ya kikazi wilayani humo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
PMO_3593Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimpa pole, Ramadhani Hamadi mkazi wa Dar es Salaam aliyelazwa katika Zahanati ya Nandagala wilayani Ruangwa  wakati alipotembelea Zahanati hiyo, Juni 24, 2020. (Picha na Ofisi ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Miriam Mawira alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanya kazi zake

Miriam Mawira : alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanikisha kazi zake, changamoto hiyo si kikwazo kwake

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI NA TAASISI ZISIZO ZA KISERIKALI ZATAKIWA KUFANYA KAZI KWA UWAZI.

 Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Mkuchika akizungumza wakati wa kufunga mkutano wa uwazi na kusikilizana kati ya Serikali na taasisi zisizo za kiserikali barani Afrika mkutano uliofanyika kwa siku mbili katika ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam leo.  Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO Issah Mwambene akichangia  kwa upande wa serikali kuwa serikali ya Tanzania ni sikivu, wakati wa mkutano wa Uwazi na usikivu katika mambo ya uchumi...

 

9 years ago

StarTV

Kassim Majaliwa aahidi kuwajibika bila ubaguzi

Waziri mkuu mteule Mh. Kassim Majaliwa amesisitiza juu ya mshikamano baina ya wabunge katika kufanikisha malengo ya shuguli za Serikali na kuahidi kufanya kazi kwa kufika majimboni akiutaja mtindo huu kuwa wenye ufanisi zaidi.

Amebainisha hayo mara baada ya wabunge kuthibitisha jina na nafasi yake ya uwaziri mkuu kwa kura 258 sawa na asilimia 73.5.

Mheshimiwa Majaliwa ambaye ni mbunge Luangwa aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwemo ya ukuu wa wilaya na kuwa naibu waziri ofisi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanahabari Frank kibiki awataka vijana kufanya kazi kwa bidii na kutumia fursa zinazotolewa na serikali

IMG_20150130_130513

Mwanahabari Frank Kibiki  akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.

Na Mwandishi wetu, Iringa

MWANAHABARI Frank Kibiki, aliyewahi kuwa Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) ngazi ya wilaya kwa zaidi ya miaka 10.

Akizungumza na mtandao huu mwanahabari Frank Kibiki, alisema kuwa vijana wengi wamekuwa wakibweteka kwa kutojituma kufanya kazi na kuendelea kuilaumu serikali.

“Eti asubuhi unawakuta vijana wamekaa kwenye vijiwe wakizungumza siasa na kucheza mabao wakati...

 

10 years ago

Michuzi

WATUMISHI WAPYA 222 WA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI WAASWA KUFANYA KAZI KWA KUJITUMA NA UZALENDO

Kaimu Naibu Mwanasheria Mkuu Wa Serikali, Sarah Mwaipopo akisisitiza jambo wakati akifunga Mafunzo Elekezi ya awali kwa Watumishi wapya wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wapatao 222. Kaimu Naibu Mwanasheria Mkuu Wa Serikali, Sarah Mwaipopo akihutubia Watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (Hawapo Pichani) Wakati wa Kufunga Mafunzo ya awali kwa Watumishi wapya. Wengine pichani kuanzia kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Divisheni ya Mashtaka, Bi Mary Lyimo na Mkuruegenzi wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkalama washukuru serikali kwa kasi ya kuwaletea umeme

DSC00871

Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Mkalama

SERIKALI  wilaya mpya ya Mkalama mkoani Singida, imeishukuru serikali kuu kwa hatua yake ya kuipatia huduma ya nishati ya umeme kwa kipindi kifupi mno.

Shukrani hizo zimetolewa na mkuu wa wilaya hiyo, Edward Ole Lenga wakati akizungumza na Mwakilishi wa MOBlog, juu ya maendeleo ya usambazaji wa huduma hiyo ya umeme kupitia matokeo makubwa sasa (BRN)katika vijiji mbalimbali vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani