Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waridi wa BBC: Miriam Mawira alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanya kazi zake

Miriam Mawira : alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanikisha kazi zake, changamoto hiyo si kikwazo kwake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Mwanamke anayedai kufanya ngono na pepo

Vennie Katoti alishindwa kuolewa baada ya kuanza kufanya ngono na mwanaume asiyemuona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Pamoja na kutokuwa na miguu na mikono, Tio anayafurahia maisha yake

Tio ni kijana mdogo kutoka Indonesia, anapenda sana kucheza michezo ya video na kujipatia taarifa za ulimwengu kwa simu yake ya mkononi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Masaibu ya kuzaliwa na jinsia mbili

Kila anapofikiria kutangamana na watu wanaoifahamu hali yake, Sidney Etemesi huwa anaanza kuishiwa na nguvu na ujasiri hata wa kutembea au kutoka nje.

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: 'Mume wangu alizoea kunilawiti na kunibaka'

Katika maisha yao ya ndoa, kabla mambo hayajabadilika, walikuwa wamejaliwa watoto 11. Baadaye alijaliwa malaika wa 12.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mpinga awaagiza madiwani wa Mkalama kufanya kazi na serikali za vijiji bila ubaguzi wa vyama

DSC03886

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida, James Mpinga, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha kawaida cha madiwani wa halmashauri hiyo. Mwenyekiti James, aliwataka madiwani kufanya kazi kwa karibu na serikali mpya za vijiji bila kujali za chama gani cha siasa.

Na Nathaniel Limu, Mkalama

 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida, James Mpinga, ameagiza madiwani kufanya kazi na serikali za vijiji zilizochaguliwa kwenye uchaguzi uliopita bila kujali...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Nilibakwa na wanaume watatu siku ya harusi yangu

Terry Gobanga ni Kasisi aliyepitia madhila ya kubakwa saa kadhaa kabla ya harusi yake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Dada wawili wanaokula sabuni kama chakula

Katika Waridi wa BBC, fuatilia dada wawili wanaofurahishwa na kula sabuni

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Simulizi ya mwanamke anayekabiliana na ugonjwa uliobadili muonekano wake

Farah Khalek anasema muonekano wa sura yake ilimtisha hata yeye mwenyewe.

 

10 years ago

Bongo5

Barnaba aeleza kwanini hutumia muda mfupi kuandika nyimbo zake

Barnaba amesema kuandika nyimbo zake kwa muda mfupi tu ni kipaji alichopewa na Mungu. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa humchukua dakika 30 tu kuandika nyimbo zake au za wasanii wengine. “Unajua nyimbo zangu huwa naandika kwa kutumia dakika chache sana kama wimbo wangu huu mpya niliandika kwa kutumia dakika 30 lakini zingine zote huwa ni […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani