Pamoja na kutokuwa na miguu na mikono, Tio anayafurahia maisha yake
Tio ni kijana mdogo kutoka Indonesia, anapenda sana kucheza michezo ya video na kujipatia taarifa za ulimwengu kwa simu yake ya mkononi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Waridi wa BBC: Miriam Mawira alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanya kazi zake
9 years ago
StarTV16 Dec
Baba awaunguza watoto wake midomo, mikono na  miguu
Mkazi wa kijiji cha Msasa kata ya Busanda wilayani Geita Lucas Perto anashikiliwa kwenye ofisi ya Afisa mtendaji wa kata hiyo kwa tuhuma ya kuwaunguza midomo, mikono na miguu watoto wake akiwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yake.
Baada ya kutekeleza ukatili huo Desemba 6 mtuhumiwa mwenye umri wa miaka 29 aliwaficha watoto wake hadi Desemba 12 walipogunduliwa na wasamaria wema wakiwa wameanza kutoa harufu mbaya.
Wahudumu wa Afya ya msingi ya jamii ndiyo waliookoa maisha ya watoto...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL0WXyvS3L50iyFEtvKExRA-sMlHQ1QlkUD1GX01BYL10rpwisV2b1IwTpkJEH*J0rpQjTb5ypXN9EnjVBeRDAEv/gonjwalaajabu.jpg?width=650)
KISA GONJWA LA AJABU, ATEMBEA KWA MIKONO NA MIGUU
10 years ago
Michuzi26 Nov
MTOTO AZALIWA AKIWA NA MIGUU NA MIKONO MINNE HUKO INDIA
![](https://3.bp.blogspot.com/-UC_J2-xfUp8/VHSl1dShAFI/AAAAAAAAw24/hxv1KA7zpEc/s640/god-boy.jpg)
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Niger: 'Maisha yangu ya kutokuwa na mtoto'
10 years ago
Vijimambo19 Feb
Mtoto albino aliyenyang'anywa mikononi mwa mamaye akutwa amekatwa miguu, mikono yote. Kiwiliwili chake chatelekezwa msituni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph-konyo-19Feb2015.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.
Siku tatu baada ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati (1), kutekwa na watu wasiofahamika, hatimaye mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa miguu, mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika Kitongoji cha Mapinduzi, Kijiji cha Rumasa ndani ya hifadhi ya msitu wa Biharamulo Wilaya ya Chato, mkoani Geita.
Mtoto huyo alinyakuliwa Jumapili iliyopita nyumbani kwao saa 2:15 usiku akiwa amebebwa na mama yake mzazi, Esther...
10 years ago
Vijimambo28 Dec
LICHA YA KUTOKUWA NA MWENENDO MZURI KWENYE TIMU YAKE YA BWAWA LA MAINI KOCHA ASEMA
Balotelli haondoki ng'o, asema kocha
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/05/141205180304_mario_balotelli_racismo_640x360_pa_nocredit.jpg)
Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa hana mipango ya kumuuza mshambuliaji wa kilabu hiyo Mario Baloteli wakati wa dirisha la uhamisho la mwezi Januari.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 na ambaye amefunga mabao mawili katika mechi 15 amehusishwa na uhamisho wa Inter Milan kulingana na gazeti dello Sport.
''Hicho si kitu nilichofikiria kufanya,kusema ukweli'', alisema Rodgers.
''Tumekuwa na mechi...
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Kwa kuwa tuna mkao wa kula badala ya msimamo,mwisho mikono yote itamega matonge ya ugali wetu pamoja
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Pistorius hakuwa na miguu yake bandia