Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pamoja na kutokuwa na miguu na mikono, Tio anayafurahia maisha yake

Tio ni kijana mdogo kutoka Indonesia, anapenda sana kucheza michezo ya video na kujipatia taarifa za ulimwengu kwa simu yake ya mkononi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Miriam Mawira alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanya kazi zake

Miriam Mawira : alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanikisha kazi zake, changamoto hiyo si kikwazo kwake

 

9 years ago

StarTV

Baba awaunguza watoto wake midomo, mikono na  miguu

Mkazi wa kijiji cha Msasa kata ya Busanda wilayani Geita Lucas Perto anashikiliwa kwenye ofisi ya Afisa mtendaji wa kata hiyo kwa tuhuma ya kuwaunguza midomo, mikono na miguu watoto wake akiwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yake.

Baada ya kutekeleza ukatili huo Desemba 6 mtuhumiwa mwenye umri wa miaka 29 aliwaficha watoto wake hadi Desemba 12 walipogunduliwa na wasamaria wema wakiwa wameanza kutoa harufu mbaya.

Wahudumu wa Afya ya msingi ya jamii ndiyo waliookoa maisha ya watoto...

 

11 years ago

GPL

KISA GONJWA LA AJABU, ATEMBEA KWA MIKONO NA MIGUU

Na Gabriel Ng’osha
Mzee mwenye miaka 72, Petro Bulimi  mkazi wa Kijiji cha Itwimila A, Wilaya ya Magu mkoani Mwanza anatembea kwa kutumia mikono na miguu kufuatia kusumbuliwa na tatizo la uvimbe katikati ya uti wa mgongo. Mzee Petro Bulimi akiwa nyumbani kwake. 
Ugonjwa huo pia umesababisha kuibukwa kwa magonjwa mengine kibao yakiwemo ya miguu kuchezacheza  kama kuna golori ndani yake zinazozunguka....

 

10 years ago

Michuzi

MTOTO AZALIWA AKIWA NA MIGUU NA MIKONO MINNE HUKO INDIA

HUKO nchini India mama mmoja kajifungua mtoto mwenye miguu minne na mikono minne huku akipokelewa na wenyeji kwa furaha kubwa na kuitwa ‘Mungu Mvulana’ Mtoto huyo amepewa jina la ‘Mungu Mvulana‘ kwa kuwa kuzaliwa na viungo kama hivyo si jambo la kawaida na huchukuliwa kama mfano wa Mungu kwa jamii za kihindu.Watu walisafiri kutoka kona mbalimbali za nchi hiyo kwenda kumshuhudia mtoto huyo wa maajabu, katika mji wa Kaskazini mwa nchi hiyo walijazana nje ya eneo la Hospitali hiyo wakiwa na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Niger: 'Maisha yangu ya kutokuwa na mtoto'

Changamoto za wanawake ambao hawakubahatika kupata mtoto katika jamii ya kiafrika

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto albino aliyenyang'anywa mikononi mwa mamaye akutwa amekatwa miguu, mikono yote. Kiwiliwili chake chatelekezwa msituni


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.

Siku tatu baada ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati (1), kutekwa na watu wasiofahamika, hatimaye mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa miguu, mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika Kitongoji cha Mapinduzi, Kijiji cha Rumasa ndani ya hifadhi ya msitu wa Biharamulo Wilaya ya Chato, mkoani Geita.

Mtoto huyo alinyakuliwa Jumapili iliyopita nyumbani kwao saa 2:15 usiku akiwa amebebwa na mama yake mzazi, Esther...

 

10 years ago

Vijimambo

LICHA YA KUTOKUWA NA MWENENDO MZURI KWENYE TIMU YAKE YA BWAWA LA MAINI KOCHA ASEMA



Balotelli haondoki ng'o, asema kochaMachezaji wa Liverpool Mario Balotelli
Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa hana mipango ya kumuuza mshambuliaji wa kilabu hiyo Mario Baloteli wakati wa dirisha la uhamisho la mwezi Januari.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 na ambaye amefunga mabao mawili katika mechi 15 amehusishwa na uhamisho wa Inter Milan kulingana na gazeti dello Sport.
''Hicho si kitu nilichofikiria kufanya,kusema ukweli'', alisema Rodgers.
''Tumekuwa na mechi...

 

10 years ago

Raia Mwema

Kwa kuwa tuna mkao wa kula badala ya msimamo,mwisho mikono yote itamega matonge ya ugali wetu pamoja

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius hakuwa na miguu yake bandia

Mtaalamu wa mabomu katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius, amesema kuwa mwanariadha huyo hakuwa amevaa miguu yake bandia alipomuua Reeva Steenkamp

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani