Baba awaunguza watoto wake midomo, mikono na  miguu
Mkazi wa kijiji cha Msasa kata ya Busanda wilayani Geita Lucas Perto anashikiliwa kwenye ofisi ya Afisa mtendaji wa kata hiyo kwa tuhuma ya kuwaunguza midomo, mikono na miguu watoto wake akiwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yake.
Baada ya kutekeleza ukatili huo Desemba 6 mtuhumiwa mwenye umri wa miaka 29 aliwaficha watoto wake hadi Desemba 12 walipogunduliwa na wasamaria wema wakiwa wameanza kutoa harufu mbaya.
Wahudumu wa Afya ya msingi ya jamii ndiyo waliookoa maisha ya watoto...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Baba mbaroni kwa kuwabaka watoto wake
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL0WXyvS3L50iyFEtvKExRA-sMlHQ1QlkUD1GX01BYL10rpwisV2b1IwTpkJEH*J0rpQjTb5ypXN9EnjVBeRDAEv/gonjwalaajabu.jpg?width=650)
KISA GONJWA LA AJABU, ATEMBEA KWA MIKONO NA MIGUU
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Pamoja na kutokuwa na miguu na mikono, Tio anayafurahia maisha yake
10 years ago
Michuzi26 Nov
MTOTO AZALIWA AKIWA NA MIGUU NA MIKONO MINNE HUKO INDIA
![](https://3.bp.blogspot.com/-UC_J2-xfUp8/VHSl1dShAFI/AAAAAAAAw24/hxv1KA7zpEc/s640/god-boy.jpg)
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Waridi wa BBC: Miriam Mawira alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanya kazi zake
10 years ago
Vijimambo19 Feb
Mtoto albino aliyenyang'anywa mikononi mwa mamaye akutwa amekatwa miguu, mikono yote. Kiwiliwili chake chatelekezwa msituni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph-konyo-19Feb2015.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.
Siku tatu baada ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati (1), kutekwa na watu wasiofahamika, hatimaye mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa miguu, mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika Kitongoji cha Mapinduzi, Kijiji cha Rumasa ndani ya hifadhi ya msitu wa Biharamulo Wilaya ya Chato, mkoani Geita.
Mtoto huyo alinyakuliwa Jumapili iliyopita nyumbani kwao saa 2:15 usiku akiwa amebebwa na mama yake mzazi, Esther...
11 years ago
Habarileo19 Jul
Maji yenye kemikali yababua watoto miguu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Binilith Mahenge amekataa kuwapa cheti cha utunzaji wa mazingira kiwanda cha nguo cha Nida kilichopo Tabata katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAGSkQ2O-ExJOeL8QIkHnagD6uLLblvIodQTl88kIp3E3ZmUj7xmYdMEtDI2zjwhA1WddCQzLWBZIlcDd4RlUzZD/Moto.jpg?width=650)
UKATILI ULIOJE! SHANGAZI AMCHOMA MIKONO MTOTO WAKE
10 years ago
MichuziBANK OF AFRICA-TAZANIA, YAZINDUA UCHANGIAJI MATIBABU KWA WATOTO WALIOPINDA MIGUU
BANK OF AFRICA-TANZANIA, leo imezindua rasmi kampeni ya uchangiaji wa dola 100,000 ili kuisaidia Hospitali ya CCBRT katika mpango wake wa kufanikisha matibabu ya watoto 400 wanaosumbuliwa na ugonjwa wa kupinda miguu.
Msaada huu kwa Hospitali ya CCBRT utawezesha watoto kutoka katika mikoa mbalimbali ya Tanzania kupata matibabu bure au kwa gharama nafuu ili kuwawezesha kutembea sawa sawa.
Ugonjwa wa kupinda miguu unaweza kuathiri mguu mmoja au yote miwili. Miguu iliyopinda...