Baba mbaroni kwa kuwabaka watoto wake
Mkazi mmoja wa Miembe Saba wilayani Kibaha mkoani Pwani amekamatwa na polisi akituhumiwa kuwabaka watoto wake wawili wadogo kwa zaidi ya miaka miwili sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV16 Dec
Baba awaunguza watoto wake midomo, mikono na  miguu
Mkazi wa kijiji cha Msasa kata ya Busanda wilayani Geita Lucas Perto anashikiliwa kwenye ofisi ya Afisa mtendaji wa kata hiyo kwa tuhuma ya kuwaunguza midomo, mikono na miguu watoto wake akiwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yake.
Baada ya kutekeleza ukatili huo Desemba 6 mtuhumiwa mwenye umri wa miaka 29 aliwaficha watoto wake hadi Desemba 12 walipogunduliwa na wasamaria wema wakiwa wameanza kutoa harufu mbaya.
Wahudumu wa Afya ya msingi ya jamii ndiyo waliookoa maisha ya watoto...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Baba mbaroni kwa kutesa wanaye
MATESO Hassan Mkazi wa Kijiji cha Karago, Kata ya Sunuka Wilaya ya Uvinza mkoani hapa, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuwafungia ndani watoto wake wanne...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Wawili mbaroni kwa tuhuma za kuwateka watoto
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYjF7yIrhjgeiw*u5QoIHjDaAf3yRLcrtI6TRDRpDtsttfw0ZeVYam-XswoKwXezRGy6ycd3PJDUmzrZQ-x08uU-/wachungaji.jpg?width=650)
WACHUNGAJI MBARONI KWA ULAWITI WA WATOTO KANISANI
11 years ago
Michuzi26 Apr
MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Wazazi Geita mbaroni kwa kutopeleka watoto shule
WAZAZI watano mkoani Geita wamekamatwa na Polisi kwa kugoma kuwapeleka watoto wao shule na kuwalazimisha kuwaoza. Hatua hiyo inatokana na agizo la Mkuu wa Mkoa wa Geita, Saisi Magalula, la...
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
David Beckham aonyesha wazi ushabiki wake kwa Argentina baada ya kuwavisha watoto wake jezi za timu hiyo
Family outing: David Beckham and his three sons Brooklyn, Cruz and Romeo were all in attendance – with the boys all wearing Argentina kits.
Family ties: Beckham’s youngest son Cruz was also showing his support for Argentina in the team’s dark blue away kit.
Switched allegiances: David Beckham was in the crowd for the final with his young sons, including Romeo, 11, who was wearing an Argentina shirt.
Stars of the game: Former Brazilian internationals Kaka and Pele with Beckham before the...
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Msururu wa ubakaji: Mwanamume akamatwa kwa kuwabaka wanawake 40 Nigeria
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-H9dAZOYRSd8/Xng3eT9S_MI/AAAAAAAC1f4/zX2hd0bjn7o52Bw9S9x9Y8eDajq6XkyQgCLcBGAsYHQ/s72-c/CrcmP1xWIAIjnXD-1.jpg)
ATIWA MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMUUA MPENZI WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-H9dAZOYRSd8/Xng3eT9S_MI/AAAAAAAC1f4/zX2hd0bjn7o52Bw9S9x9Y8eDajq6XkyQgCLcBGAsYHQ/s1600/CrcmP1xWIAIjnXD-1.jpg)
Ni kwamba mnamo tarehe 22/03/2020 majira ya saa 09:00 Asubuhi huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “NEGERO” iliyopo Mtaa wa Ilolo, Kata ya Ruanda, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya katika chumba namba 111 @ Victoria, Mwanamke mmoja aitwaye JESCA MICHAEL @ KUNGULU [28] Mhudumu wa...