Baba mbaroni kwa kutesa wanaye
MATESO Hassan Mkazi wa Kijiji cha Karago, Kata ya Sunuka Wilaya ya Uvinza mkoani hapa, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuwafungia ndani watoto wake wanne...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M33tnOMnaeCBuNXPjzOb2RQ9pq7LNg5xu3BAo-yge7PitOXUMFSSouVw7eF69eTtyBMhHgQ8hFQSxbJUkuIc72aF/Mbaroni.jpg?width=650)
MBARONI KWA KUTESA MAHAUSIGELI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vAylIerRM6wM20WzEcb5RR-INZ5L9j-bnXhvHsWcBB8uCKPYN9OKVzzEOwPO*Qhk77l5FJWWxGF-LsPOxJI1EvY/BACKUWAZI.jpg)
BABA MZAZI AKESHA AKIBAKA WANAYE!
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Baba awachoma moto wanaye, kisa samaki
Ester Lucas akiwa na majeraha ya moto mkononi.
NA VICTOR BARIETY, Uwazi
GEITA: Baba mzazi wa watoto wawili, Lucas Petro mwenye umri wa miaka 29, anatafutwa na polisi kwa kosa la kuwachoma moto watoto wake, Denis (5) na Ester Lucas, 3, (pichani) baada ya kuwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yao, tukio lililotokea katika Kijiji cha Msasa, Kata ya Busanda wilayani Geita, mwishoni mwa mwezi Novemba, mwaka huu.
Wakizungumza katika ofisi za mtendaji wa kata kijijini hapo, watoto hao...
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Baba mbaroni kwa kuwabaka watoto wake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ6*uJw0g5aKvvmSTkvlPSHRbPZwPBN6X-14HT5sOEO37XPThEal*2vR1c0liPQ2ISoIWny*-bSY3wYCpw-HlgX4Z/Front.jpg?width=650)
MAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10
10 years ago
Habarileo11 Mar
Baba, waganga 10 mbaroni
POLISI mkoani Rukwa inawashikilia watu 17 wakiwemo waganga wa jadi 10 wakihusishwa na tukio la kikatili katika kijijini cha Kipeta , Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga ambako mtoto mlemavu wa ngozi (albino), Baraka Cosmas (6) mwishoni mwa wiki alishambuliwa na kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana.
10 years ago
Vijimambo17 Feb
Mbaroni akidaiwa kumuua baba yake
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Misime-17Feb2015.jpg)
Mkazi wa Kitongoji cha Nyamorege kilichopo Mtaa wa Forodhani mji mdogo wa Sirari Wilaya ya Tarime mkoani Mara, Marwa Kihiri Mwita, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi Kihiri Mwita kinyama kwa kumpiga na koleo kichwani na ubavuni.
Vilevile inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo alijeruhiwa kwa kucharangwa kwa panga na baba yake huyo kabla ya kumjeruhi kwa kumpiga na koleo kichwani na ubavuni baada ya kuzuka ugomvi baina...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Mbaroni akishukiwa mauaji ya baba mzazi
JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Issa Sadick (49), Mkazi wa Itongo tarafa ya Nshamba Wilaya ya Muleba kwa tuhuma za mauaji ya baba yake mzazi na mama yake wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3subrl45qjRdwqHt*UDyqOqs2ug11pfYCp51tKvksv1IvE1SD*3OwvOdHicyJeYp9Zz5tUqb9an4XDU7nIHJ9B/MAMAWEMA.jpg?width=650)
NATURE, UMESAHAU KUTESA KWA ZAMU?