Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbaroni akishukiwa mauaji ya baba mzazi

JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Issa Sadick (49), Mkazi wa Itongo tarafa ya Nshamba Wilaya ya Muleba kwa tuhuma za mauaji ya baba yake mzazi na mama yake wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mzazi, ngariba mbaroni kwa ukeketaji

Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya kwa kushirikiana na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), wamewatia mbaroni watu wawili kwa kula njama na kuwakeketa watoto wa kike wanne wa Kijiji cha Marasibora, Kata ya Kisumwa, Wilaya ya Rorya, mkoani Mara.

 

10 years ago

GPL

BABA MZAZI KANIBAKA MIEZI 2

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya/Risasi
BINTI mwenye umri wa miaka 12 aliyejitambulisha kwa jina moja la Irine, mkazi wa Mbagala-Charambe, Dar amesimulia tukio la kusikitisha akidai kubakwa na baba yake mzazi kwa muda wa takribani miezi miwili. Akilisimulia Risasi Jumamosi mkasa huo wa kusikitisha hivi karibuni nyumbani kwao maeneo hayo, binti huyo alisema kuwa baba yake aliyemtaja kwa jina moja la Israel alikuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mzazi aliyeozesha ‘kitoto’ kwa babu miaka 54 mbaroni

MZAZI aliyeoza mtoto wake kwa mzee wa miaka 54, juzi alikamatwa na polisi na kufikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda, na kufunguliwa kesi ya kula njama kwa nia ya kutenda kosa la kuozesha mtoto mdogo kinyume cha sheria.

 

10 years ago

GPL

BABA MZAZI AKESHA AKIBAKA WANAYE!

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha
USHETANI! Watoto wa kike wawili wenye umri wa miaka 8 na 14, wakazi wa Unga Limited jijini hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa Mount Meru baada ya kuharibiwa vibaya sehemu zao za siri kwa madai ya kulawitiwa na kubakwa na baba yao mzazi waliyemtaja kwa jina moja la Ezekiel, Uwazi linakupa zaidi. Watoto wanaodaiwa kubakwa na baba yao. Akizungumza na gazeti hili kwa tabu hospitalini hapo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Baba mzazi adaiwa kumchinja mwanaye

Baba mzazi na mkazi wa Kijiji cha Sima wilayani hapa mkoani Mwanza anadaiwa kumuua kikatili mwanaye Maneno Faida (4) kwa kumchinja koromeo na kumchoma kwa kisu kwenye kitovu na utumbo kutoka nje.

 

11 years ago

Habarileo

Baba mzazi ampa ujauzito mwanawe

MKAZI wa Kijiji cha Bwekela wilayani Igunga mkoani Tabora, Kashinje Shima, anatafutwa na Uongozi wa kijiji hicho, kwa kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa mwenye umri wa miaka 17.

 

10 years ago

GPL

ESTER: BABA MZAZI ALINIKATAZA KUIGIZA

LEO hii kwenye Live Chumba cha Habari ya Global Publishers tunaye msanii chipukizi wa filamu za Kibongo, Ester Kiama ambaye pia ni mjasiriamali anayejishughulisha na biashara mbalimbali ikiwemo ya kuuza mkaa, pikipiki na magari. Msanii chipukizi wa filamu za Kibongo, Ester Kiama akisisitiza jambo. Katika mahojiano na safu hii huku akirekodiwa na timu nzima ya Global TV Online , Ester alisema hapendi… ...

 

10 years ago

GPL

MAUAJI YA WATOTO 8 AUSTRALIA, MAMA MZAZI ASHITAKIWA

Maua na midoli ikiwa jirani na nyumba yalipotokea mauaji hayo. Mmoja wa ndugu wa marehemu akilia kwa simanzi. Waombolezaji…

 

10 years ago

Mtanzania

Babu Tale afiwa na baba yake mzazi

babu taleBABA mzazi wa Babu Tale ambaye ni meneja wa Abdul Nassib ‘Diamond’, amefariki dunia mchana wa jana Manzese jijini Dar es Salaam.
Kifo hicho kimetokea ikiwa ni miezi kadhaa tu tangu kaka wa Babu Tale, Abdu Bonge kufariki dunia.
Msanii wa kundi hilo, Madee alithibitisha kutokea kwa kifo hicho huku akieleza kwamba msiba utakuwa nyumbani kwao Manzese ambako palifanyika msiba wa Abdu Bonge.
“Ni kweli baba wa Abdu Bonge amefariki leo (jana) na msiba upo Manzese jijini Dar es Salaam ila chanzo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani