Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAUAJI YA WATOTO 8 AUSTRALIA, MAMA MZAZI ASHITAKIWA

Maua na midoli ikiwa jirani na nyumba yalipotokea mauaji hayo. Mmoja wa ndugu wa marehemu akilia kwa simanzi. Waombolezaji…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MAUAJI YA KIBARI RWANDA: 'MIMI NI MAMA-NILIUWA WAZAZI WA BAADHI YA WATOTO'

Fortunate MukankurangaHaki miliki ya pichaNATALIA OJEWSKAMaelfu ya wanawake walishiriki mauaji ya kimbari ya Rwanda 1994 lakini jukumu lao halijakuwa likizungumziwa, hali inayofanya maridhiano na familia zao kuwa ngumu.Mwanahabari Natalia Ojewska amekuwa akizungumza na baadhi ya wanawake hao gerezani.Kitu kilichoanza kama shughuli ya kawaida ya wanawake kuenda mtoni kuteka maji ya kutayarisha kiamsha kinywa, kiliishia kumfanya Fortunate Mukankuranga kutekeleza mauaji.Akiwa amevalia sare za wafungwa huku akiongea...

 

10 years ago

GPL

SUGE KNIGHT ASHITAKIWA KWA MAUAJI NCHINI MAREKANI

Suge Knight. ALIYEKUWA mwanamuziki wa Rap nchini Marekani, Marion "Suge" Knight ameshitakiwa kwa mauaji na jaribio la kutaka kuua baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na baadaye kutoroka. Eneo la Compton, Los Angeles ambapo Suge Knight aligonga mtu na kukimbia. Iwapo itathibitika kuwa alifanya makosa hayo, Suge anaweza kuhukumiwa kifungo cha maisha jela. Polisi wanasema kuwa Knight alijibizana na watu...

 

10 years ago

Vijimambo

SUGE KNIGHT MATATANI TENA, ASHITAKIWA KWA MAUAJI

Eneo la Compton, Los Angeles ambapo Suge Knight aligonga mtu na kukimbia.
ALIYEKUWA mwanamuziki wa Rap nchini Marekani, Marion "Suge" Knight ameshitakiwa kwa mauaji na jaribio la kutaka kuua baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na baadaye kutoroka.

Iwapo itathibitika kuwa alifanya makosa hayo, Suge anaweza kuhukumiwa kifungo cha maisha jela.

Polisi wanasema kuwa Knight alijibizana na watu wawili wiki iliyopita katika eneo la kuegesha magari huko Compton, Los Angeles na baadaye...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya kimbari Rwanda: ‘Mimi ni mama – niliuwa wazazi wa baadhi ya watoto'

Maelfu ya wanawake walishiriki mauaji ya kimbari ya Rwanda 1994 lakini jukumu lao halijakuwa likizungumziwa, hali inayofanya maridhiano na familia zao kuwa ngumu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mauaji Australia

Polisi nchini Australia wamewakamata watu wanne kuhusiana na mauaji ya mfanyakazi mmoja wa polisi.

 

11 years ago

GPL

MAMA MZAZI WA ANGELLA MSANGI, MAMA MISHELI SINGOYE KUZIKWA LEO APRILI 30, 2014 ZINGA, BAGAMOYO PWANI

Mama mzazi wa Mtangazaji wa Television ya Taifa (TBC1), Angella Michael Msangi, Marehemu Mama Misheli Singoye anatazikwa leo Jumatano Aprili 30, 2014 ambapo ibada itaanza saa tatu asubuhi katika Kanisa la Pentekoste, Kigamboni na baada ya hapo safari ya kuelekea kwenye maziko Zinga kwa Awadhi, Bagamoyo Pwani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni akishukiwa mauaji ya baba mzazi

JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Issa Sadick (49), Mkazi wa Itongo tarafa ya Nshamba Wilaya ya Muleba kwa tuhuma za mauaji ya baba yake mzazi na mama yake wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto 8 wauawa nyumbani Australia

Polisi nchini Australia wanasema kuwa watoto wanane wamepatikana wakiwa wamekufa kwenye nyumba moja katika mji wa Cairns eneo la Queensland kaskazini ya Australia.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido afiwa na mama yake mzazi

Mama mzazi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando, Jessie (85), amefariki dunia jana asubuhi Chang’ombe Dar es Salaam kwa ugonjwa wa moyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani