MAMA MZAZI WA ANGELLA MSANGI, MAMA MISHELI SINGOYE KUZIKWA LEO APRILI 30, 2014 ZINGA, BAGAMOYO PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVEN_p2AWLA/U1_VKgvdZ0I/AAAAAAAA5fs/OyZbf-mfAb8/s1600/Mama+Angela.jpg)
Mama mzazi wa Mtangazaji wa Television ya Taifa (TBC1), Angella Michael Msangi, Marehemu Mama Misheli Singoye anatazikwa leo Jumatano Aprili 30, 2014 ambapo ibada itaanza saa tatu asubuhi katika Kanisa la Pentekoste, Kigamboni na baada ya hapo safari ya kuelekea kwenye maziko Zinga kwa Awadhi, Bagamoyo Pwani.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zVEN_p2AWLA/U1_VKgvdZ0I/AAAAAAAA5fs/OyZbf-mfAb8/s72-c/Mama+Angela.jpg)
Mama Misheli Singoye kuzikwa kesho
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVEN_p2AWLA/U1_VKgvdZ0I/AAAAAAAA5fs/OyZbf-mfAb8/s640/Mama+Angela.jpg)
Marehemu Mama Misheli Singoye alifariki Aprili 26, 2014 katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam...
11 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA HOSPITALI YA WATOTO HUKO ZINGA BAGAMOYO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gX5VlTgRrDs/VPRsEEI8zCI/AAAAAAAAIhg/AxclXwC5W6o/s72-c/Kingaru%2Bkulia%2Bakiwa%2Bna%2Bmama%2Byake.jpg)
TANZIA: Mama mzazi wa katibu wa mbunge Al Shaimar Kweigyir afariki dunia leo Kibaha, Pwani
MAMA wa Katibu wa Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Al Shaimar Kweigyir, Bw. Semeni Kingaru, anayeitwa Kibibi Haji Pembe, amefariki Dunia leo saa tano asubuhi akiwa na umri wa miaka 80.
Semeni Kingaru kulia ambaye ni Katibu wa Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaimar Kweigyir, akiwa na mama yake mzazi Bi Kibibi Haji enzi za uhai wake. Marehemu Kibibi Haji amefariki Dunia leo asubuhi, wilayani Kibaha, mkoani Pwani.Mama huyo amefariki nyumbani kwake kijiji cha Misugusugu, wilayani Kibaha, mkoani Pwani,...
![](http://4.bp.blogspot.com/-gX5VlTgRrDs/VPRsEEI8zCI/AAAAAAAAIhg/AxclXwC5W6o/s1600/Kingaru%2Bkulia%2Bakiwa%2Bna%2Bmama%2Byake.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-em7YgeVX890/U4HgKDx8IzI/AAAAAAAFk5c/6-50O5nKxYs/s72-c/unnamed+(16).jpg)
JK amjulia hali mama mzazi wa Zitto Kabwe leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-em7YgeVX890/U4HgKDx8IzI/AAAAAAAFk5c/6-50O5nKxYs/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gExK7DuHLHU/U4zAIjD91ZI/AAAAAAAFnSU/rpj_07FrW5Q/s72-c/unnamed+(31).jpg)
mama mzazi wa mwanalibeneke Kazikupenda "KK" Chale afariki dunia leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-gExK7DuHLHU/U4zAIjD91ZI/AAAAAAAFnSU/rpj_07FrW5Q/s1600/unnamed+(31).jpg)
jina la Bwana Lihimidiwe - Amen
KK anaendesha blog ya Tembea Tanzania BOFYA HAPA
11 years ago
GPLMAZISHI YA MAMA YAKE MZAZI SAIDI MDOE, BI DESTA MOHAMMED YALIVYOFANYIKA LEO
Mama mzazi wa mdau Said Mdoe, Bi Desta Mohammed aliyefariki jana saa moja jioni, amezikwa jioni ya leo, hapa mwili wake ukiombewa kabla ya kupelekwa makaburini kwa mazishi. Waombolezaji wakielekea makaburini eneo la Masina Mbezi Beach, jijini Dar.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V_0_DWFQiGw/VPCAeOaJbYI/AAAAAAAHGSk/UbE-yrVPwko/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
RAIS KIKWETE ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAMA MZAZI WA MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-V_0_DWFQiGw/VPCAeOaJbYI/AAAAAAAHGSk/UbE-yrVPwko/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZhUo3cOn9Gk/VPCAe3T_ceI/AAAAAAAHGSo/xtEWsL8m_3s/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8h4MpzjZGYY/VPCAd7yS77I/AAAAAAAHGSg/c90NKX4fg1I/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SsaTrXLWsmg/VPCGf6bCtRI/AAAAAAADa7E/PDhFd2qgGAo/s72-c/h1.jpg)
RAIS KIKWETE AHIRIKI KUAGA MWILI WA MAMA MZAZI WA MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-SsaTrXLWsmg/VPCGf6bCtRI/AAAAAAADa7E/PDhFd2qgGAo/s1600/h1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b8p_KvhPay8/VPCGfhw7dtI/AAAAAAADa7A/fejsYUnp8mA/s1600/h2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8SSp946JH2E/VPCGfSLFUvI/AAAAAAADa68/tdsZbz_6Etw/s1600/h3.jpg)
10 years ago
Michuzi14 Dec
Matukio Msiba wa Mama mzazi wa Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale Jijini Dar es salaam leo
Baadhi ya waombolezaji wakitoa pole kwa ndugu na jamaa katika msiba wa marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu, ambaye ni mama mzazi wa wanahabari Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale Mbagala Kuu, jijini Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania