Mama Misheli Singoye kuzikwa kesho

Marehemu Mama Misheli Singoye
Mama mzazi wa Mtangazaji wa Television ya Taifa (TBC1), Angella Michael Msangi, Marehemu Mama Misheli Singoye anatazikwa kesho Jumatano, Aprili 30, 2014.
Ibada itaanza saa tatu asubuhi katika Kanisa la Pentekoste, Kigamboni, jijini Dar es salaam na baada ya hapo safari ya kuelekea kwenye maziko Zinga kwa Awadhi, Bagamoyo, mkoa wa Pwani.
Marehemu Mama Misheli Singoye alifariki Aprili 26, 2014 katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MAMA MZAZI WA ANGELLA MSANGI, MAMA MISHELI SINGOYE KUZIKWA LEO APRILI 30, 2014 ZINGA, BAGAMOYO PWANI
11 years ago
Mwananchi22 Apr
DC Chang’a kuzikwa Iringa kesho
11 years ago
GPL
RECHO KUZIKWA KESHO DAR
10 years ago
GPLAMIGOLAS KUZIKWA KESHO MAKABURI YA KISUTU, DAR
11 years ago
GPLMCD KUZIKWA KIISLAM KESHO SAA 7 MCHANA
11 years ago
GPL
Adam Kuambiana kuzikwa kesho alipozikwa Kanumba
11 years ago
GPLMZEE SMALL KUZIKWA KESHO MAKABURI YA SEGEREA
10 years ago
GPLAISHA MADINDA KUZIKWA KESHO JIJINI DAR
11 years ago
GPLMZEE GURUMO KUZIKWA KESHO KWAO KISARAWE, MKOA WA PWANI