Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adam Kuambiana kuzikwa kesho alipozikwa Kanumba

Marehemu Adam Kuambiana aliyeaga dunia juzi Jumamosi. Na Richard Bukos
SHABIKI wa Yanga na msanii wa filamu za maigizo nchini kutoka kambi ya Bongo Muvi, aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Adam Kuambiana aliyeaga dunia juzi Jumamosi, anatarajiwa kuzikwa kesho Jumanne kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam alipozikwa msanii mwenzake, Steven Kanumba.
Akizungumza na Championi Jumatatu, jana, Rais wa Bongo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BURIANI ADAM KUAMBIANA





Adam Kuambiana enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya leo. 
Habari zinasema Marehemu alianguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remmy, Dar es salaam . Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo. Globu ya Jamii inaungana na familia ya marehemu, ndugu,...

 

11 years ago

GPL

ADAM KUAMBIANA AZIKWA

Mazishi ya mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Kuambiana yamefanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar. Kabla ya mazishi mwili wa marehemu uliagwa na maelfu katika Viwanja vya Leaders jijini Dar. Mungu ailaze roho ya marehemu, mahali pema peponi.…

 

11 years ago

GPL

ADAM KUAMBIANA AFARIKI DUNIA

Adam Kuambiana enzi za uhai wake. MWIGIZAJI Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu. Marehemu ameanguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remy, Dar. Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbO. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Buriani Amina Ngaluma, Adam Kuambiana

WIKI hii imekuwa ni ya majonzi na simanzi kwa wapenzi na mashabiki wa masuala ya burudani, baada ya kuwapoteza nguli wake wake Amina Ngaluma na Adam Kuambiana ambao hatunao tena...

 

11 years ago

GPL

MAELFU WAMZIKA ADAM KUAMBIANA KINONDONI DAR

Mashada yakiwa tayari juu ya kaburi la Marehemu Adam Philipo Kuambiana,muda mfupi baada ya shughuli za mazishi kukamilika. Jacob Steven 'JB',akiweka shada kwenye kaburi hilo. Msanii wa fialmu Bongo,Mariam akiweka…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA ADAM KUAMBIANA WAAGWA BUNJU B, DAR

Mwili wa Adam Kuambiana ukiandaliwa tayari kwa kuagwa nyumbani kwake Bunju B jioni hii. Waombolezaji wakiwa msibani tayari kuaga mwili. Wa tatu kutoka kulia waliokaa mbele ni mke wa marehemu Janeth Rithe ambaye ni Diwani Kata ya Kunduchi, Dar.…

 

11 years ago

Michuzi

Shiwata wawalilia Amina Ngaluma na Adam Kuambiana

MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA)umepokea kwa majonzi kifo cha mwanamuziki mashuhuri na maarufu wa mwanamuziki wa dansi nchini,Amina Ngaluma "Japanese" aliyefariki nchini Thailand.
Marehemu Ngaluma aliyekuwa mwanachama wa SHIWATA atakumbukwa kwa mengi mazuri aliyoyafanya akiwa mwanamuziki wa kike mwenye kipaji cha kutunga,kuimba na kutawala jukwaa katika maonesho ya akiwa na bendi mbalimbali ikiwemo Tam Tam, Double M,Tanzania One Theatre (TOT).
Ngaluma pia amewahi kufanya maonesho...

 

9 years ago

GPL

JB AWAZUNGUMZIA KANUMBA, KUAMBIANA

NI maisha ya nguli wa filamu Bongo, Jacob Stephen Mbura ‘JB’. Anasimulia kila kitu alichopitia maishani mwake tangu kuzaliwa hadi sasa alipo. Hakika ni simulizi ambayo imejaa kila aina ya mafunzo kuhusu maisha na changamoto zake.  Kikubwa katika simulizi hii, ni kuwatia moyo watu wenye ndoto kama zake au nyingine, kutokata tamaa pindi wanapokumbana na matatizo wakati wa kufuatilia ndoto zao. Kujaribu kupandikiza...

 

11 years ago

CloudsFM

ADAM KUAMBIANA ALISHIRIKI KUANDIKA SCRIPT YA VIDEO YA MDODOMDOGO YA DIAMOND

Imefahamika kuwa aliyekuwa msanii wa Bongo Movie,Marehemu Adam Philip Kuambiana alishiriki katika kuandika script ya video ya ‘Mdogomdogo’ ya Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz.
Diamond anafunguka jinsi walivyokutana na kufanya kazi hiyo mpaka akaenda kuishuti nchni South Africa chini ya kampuni ya Godfather.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani