MWILI WA ADAM KUAMBIANA WAAGWA BUNJU B, DAR
![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIl2KFW2scoBmX9iVBpE79xOGsecfNucTjSi3kJlywBj3jYDwnTvvQj1*w6iBrrr4QxSM2-221OsDII0MrGfc6aK/KUAMBIANAKUAGWABUNJUB3.jpg)
Mwili wa Adam Kuambiana ukiandaliwa tayari kwa kuagwa nyumbani kwake Bunju B jioni hii. Waombolezaji wakiwa msibani tayari kuaga mwili. Wa tatu kutoka kulia waliokaa mbele ni mke wa marehemu Janeth Rithe ambaye ni Diwani Kata ya Kunduchi, Dar.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
MWILI WA ADAM KUAMBIANA WATOLEWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, WAPELEKWA BUNJU B
MWILI wa mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Philip Kuambiana jana ulitolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kupelekwa nyumbani kwake Bunju B ambapo uliagwa. Mwili huo leo utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye kuzikwa makaburi ya Kinondoni,…
11 years ago
GPLMWILI WA ADAM PHILIP KUAMBIANA WATOLEWA MUHIMBILI, KULALA KWAKE BUNJU LEO
Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwa ndani ya gari la kubebea maiti baada ya kuchukuliwa moshwari Muhimbili, unapelekwa nyumbani kwake, Bunju, Dar ambako utalala huko kabla ya kuagwa Viwanja vya Leaders na kuzikwa Kinondoni, kesho. Waombolezaji wakiwa wamelifungua gari la kubebea maiti ili kuweka jeneza lenye mwili wa Adamu Kuambiana leo mchana.… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBD1iMIQhg8c220WEX4inmmR08BScEAm9bs8JaHOuwAv7QWDSXeb99sTUMQ2BHiPlZwMPtvAhpLCmavm1VMyhYl3/IMG20140520WA0010.jpg?width=650)
MWILI WA MSANII KUAMBIANA WAAGWA VIWANJA VYA LEADERS CLUB
Mwili wa marehemu ukiwasili kwenye viwanja vya Leaders tayari kwa kuagwa Jeneza likiwa sehemu maalum ya kuagia (PICHA NA…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBBxm7gnAptMQILGCygI*3lK2CRjWH-jPcQ7Z0q2PoWEf1hDf8G97bDd*Te2RETwzjB7H8zJrx2AR-A3OMbku*re/LEADERS1.jpg?width=650)
MAANDALIZI YA KUAGA MWILI WA ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS
Mwili wa marehemu Adam Kuambiana utawekwa mahali hapa. Waombolezaji watakaa mahali hapa.…
11 years ago
GPLMATUKIO NYUMBANI KWA MAREHEMU KUAMBIANA ‘BUNJU B’ DAR
Kaka wa marehemu Adamu aitwaye Hassani Kuambiana. Rafiki na meneja wa Kuambiana, aliyejulikana kwa jina moja la Mushi akitoa shukrani kwa niaba ya familia.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBC5QQwK4RgC6s9uTi2Cw7n8W8rErO9VIoXl5XABh3KppXs9xr1panU-lYW9gNNXc6OqTq*D9L0Ii9-65l1DjnJR/kuambiana4.jpg?width=600)
MAELFU WAMZIKA ADAM KUAMBIANA KINONDONI DAR
Mashada yakiwa tayari juu ya kaburi la Marehemu Adam Philipo Kuambiana,muda mfupi baada ya shughuli za mazishi kukamilika. Jacob Steven 'JB',akiweka shada kwenye kaburi hilo. Msanii wa fialmu Bongo,Mariam akiweka…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DRDHTzKeAlb9nK8xFvQjn-mnuun9GCOkzdriyUfafyITzK*6oqfbe4MbcxFSVkmZoWMyYKMTX2mQglgAZFIq06x/dkwilliammgimwakalenga1.jpg?width=550)
MWILI WA DK MGIMWA WAAGWA JIJINI DAR
Aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa enzi za uhai wake.
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa kwa sasa unaagwa katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar kabla ya kusafirishwa kwenda mkoani Iringa kwa maziko. Dk. Mgimwa alifariki dunia Januari 1 mwaka huu akiwa Hospitali ya Mediclinic Kloff nchini Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu. ...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
PICHA: Safari ya mwisho ya marehemu Adam kuambiana ilivyokuwa leo viwanja vya leaders Dar es salaam
Pumzika kwa Amani Adam Kuambiana.
11 years ago
GPLMWILI WA FIDELIS MANYOTA WAAGWA JIJINI DAR
Mhariri Mtendaji wa GPL, Richard Manyota akipewa pole na baadhi ya waombolezaji waliofika hospitali ya Temeke kuaga mwili wa marehemu Fidelis Manyota. Baadhi ya ndugu wakilia kwa huzuni.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania